King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Angel Msoffe, una bahati umetambua. Kazi ni kwako, wakati unataka kufanya katabia, jiulize kama unataka matokeo yale aliyopata mamako? Kama sio, usifanye. Mbaya ni kutojitambua!
Kwakweli kuna katabia nimerithi kwa mama yangu yani ni sawa na copy and paste,
Last edited by a moderator: