Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Itasaidia nini mkimfukuza?. si ataenda Chadema kuchukua kadi ya ukweli. Sasa hivi mwili wake CCM, Lakini moyo wake upo CHADEMA.
Teh kweli kabisa mkuu ila kwavile ccm ni wavivu wa kufikiri hawajaligundua hilo mpaka sasa