Na issue zetu zile ukakubaliaje kunenepeana? 🤣🤣 hii chai tajiri, sijainywa…Mi sijui utafanyaje ila nataka nione uji uji pale... Halafu tangu nimekua mkubwa siyatumii tena nilinenepa shingo kama kenge yani .. ukitaka nenepa ghafla cheza nayo hayo
Vinakaa kama uji wa mtori au uji wa kisamvu,, hizi pipo ni vivu sijawahi ona nakwambiaWatu wanarahisisha mpaka visivyorahisishika… heri hata utumie chopper ya mkono, kuliko kublend kisamvu/ mtori 😂😂 vinatoka viko rojoooo bayaa
Na k wako akiwemo nae fake😂😂watu wale hata miwa hawajui kumenya mpk wameletewa mashine, kuna sehemu nilienda kulikuwa na mvua nikashangaa kuona watu hawawezi kuvuka maji ya magoti mpaka wabebwe mgongoni😂😂Dar kila kitu fake, hadi watu fake cc Mloganzila
Na issue zetu zile ukakubaliaje kunenepeana? 🤣🤣 hii chai tajiri, sijainywa…
Mezani utapatana na mtori wa Kaskazini.. sio hiyo mitari wanablend watoto wa Dar wavivu wavivu..
Ni chai bwana ghaiiii ..Mmmh sasa si kabla ya.. eti umesema ni chai? Tumbo ni lako ila utaona mzigoo.. umekua wa kaskazini sasa kuwananga shemej wa daslama.
Fanya utomaso ... Utarudi unaliaNi chai bwana ghaiiii ..
Kama sio chai tutatesti kama week hivi tuone shingo ya kenge inavyokaa 😂😂🏃🏃
Karibu sana Northzone..
😂😂 kilio cha furaha.. nmefurahishwa upande wa central zone 🏃🏃Fanya utomaso ... Utarudi unalia
Sana....mtori nilio Zoea ndizi zinachemshwa na nyama Hadi zinasagika zenyewe na haziwezi kuwa uji kabisa kama WA kusaga na blender
Hujui wanachopinga. Ni hivi: ukitumia blender hauwi mzuri. Hivyo basi, hata mtu aliyezoea kunywa ilitengenezwa kwa blender mpaka akiwa mkubwa. halafu akaja kunywa uliotumia njia ya asili, ataukubali ule uliotumia njia ya asili.The boss usikariri maisha..
kwani mwanao akianza kula mtori ambao ndizi zipo blended akiwa mkubwa akaja kula mtori wa asili kabisa atasema ule wa asili hawajui kupika ndizi hazijasagwa vizuri..
nyakati na mazingira yanatubadilishia utamaduni wetu kila siku..
Kwanza kabisa ni kosa kubwa kusema wahaya wanajua kupika mtori. Ukirudia kusema tena hivyo unaweza kushtakiwa na kufungwa kifungo cha miaka 30. Mtori ni chakula cha asili ya wachaga. Ni chakula maalumu kwa wanawake waliojifungua mtoto, ile miezi mitatu ya kwanza. Kidogo kidogo umaarufu wake ukaanza kusambaa na sehemu nyingi Tanzania ukapata umaarufu. Mapishi yake: Kuna ndizi maalum za kupika mtori japo siku hizi watu wanatumia ndizi zisizo maalum. Unamenya ndizi, unazipasua vipande vidogo vidogo, kama chips halafu unazichemsha baada ya kuziosha. Unatia chumvi kiasi. (zamani walikuwa wanatumia vyungu kuchemsha ili ndizi ziive vizuri na kuwa na ladha nzuri). Kwenye sufuria nyingine, unachukuwa nyama nzuri (siyo kila nyama inafaa kupika mtori,) unaichemsha mpaka inaiva. Ikisha iva, unakata vipande vidogo vidogo, na kuweka pembeni. Ndizi zikishaiva, unaepua na kuanza ''kuzisonga'' kwa kutumia mwiko. Zikishapondeka, unaweka supu ya moto kutoka kwenye ile nyama, pamoja na vile vipande vya nyama huku ukipekecha na kipekecho maalum. Unatakiwa uwe fundi, usiweke supu nyingi sana wala usipunguze sana.Kuna restaurant nimeingia nikaona wameandika kuna mtori ...dah...Ile kuagiza mtori si ndo nikagundua wana saga na blender ndizi zilizochemshwa wanachanganya na nyama ndo wanasema mtori ... nikashangaa Sana....mtori nilio Zoea ndizi zinachemshwa na nyama Hadi zinasagika zenyewe na haziwezi kuwa uji kabisa kama WA kusaga na blender....nahisi mtori Una makabila yake ...sio kila mtu anaweza pika mtori...
Wachaga na wahaya ndo wanajua kupika mtori...
Hebu wajuzi waweke tips hapa za upikqji mtori..
Umefika uchagani na kutengenezewa mtori na wale kinamama watu wazima wenye utaalam au unakunywaga tu huu mtori wa Dar? Mtori wa Dar ni grade mbaya kabisa na wengi ya wanaopika hawajui.Moja ya mlo ulionishinda...mtori
Moja ya mlo ulionishinda...mtori
huku town ndizi za mtori adimu, ikipatikana ndizi mshare inablendiwa kama kawaHahaha watu wa Dar hao ndo wanablend…
Chemsha ndizi.. weka soup.. tumia mpekesho…. Sio blenda, kwani ni juice ile
Sijawahi kuonja mtori na sitarajiiUmefika uchagani na kutengenezewa mtori na wale kinamama watu wazima wenye utaalam au unakunywaga tu huu mtori wa Dar? Mtori wa Dar ni grade mbaya kabisa na wengi ya wanaopika hawajui.
Mtori una muonekano mbaya asee 😀Hata mim aisee