Matusi hayaUkipakuliwa utakula?
Aisee mi hapana kwa kweli, mh au alikuwa nyoka wa baharini??Sijui kama niliyokula ilikuwa ya Chatu, lakini ilikuwa ya nyoka fulani nikiwa Tokyo; alikuwa ana-teaste kama samaki tu.
Nafikiri alikuwa wa baharini, lakini kumbuka kuwa hata nyoka wa nchi kavu anaweza kusihi baharini. Wao wenyewe walisema hata nyoka wa nchi kavu wote wana radha ya aina moja tu. Kinahitajiwa ufundi wa kumuua kusudi sumu yake isisambae kwenye nyama. Huko japan kuna wapishi maalumu ya nyama ya nyoka; lazima nyoka akikamatwa anelewa akiwa hai halafu mpishi mwenye ndiye anamchinja.Aisee mi hapana kwa kweli, mh au alikuwa nyoka wa baharini??
Dah sema wenzetu Hawa bagui, sisi Kuna watu hawali samaki for no reason at all.Nafikiri alikuwa wa baharini, lakini kumbuka kuwa hata nyoka wa nchi kavu anaweza kusihi baharini. Wao wenyewe walisema hata nyoka wa nchi kavu wote wana radha ya aina moja tu. Kinahitajiwa ufundi wa kumuua kusudi sumu yake isisambae kwenye nyama. Huko japan kuna wapishi maalumu ya nyama ya nyoka; lazima nyoka akikamatwa anelewa akiwa hai halafu mpishi mwenye ndiye anamchinja.