Mkuu salamzako ntazifkisha lakini kumletahapa amwage kaujumbe ngum akizoea kina KAKAKIIZA wataniharibia ndoa
Wala sidhani kama inaweza kutokea hivyo maana namiini sana watu wa humu ndani JF. wana mipaka ila na wanajua kuheshiana ni kitu cha aina gani Jamani tumekubaliana hakuna kuchukuliana tuwagombanie wakina Preta