kajoli.com
Member
- Mar 4, 2012
- 42
- 5
Mapenzi asili yake ni upendo,
kupenda sio dhambi hata rais anajua kupenda, Tunapopendana Mungu anatupenda zaidi
lakini wengi tunaharibu upendo kwa kukosa umakini. Upendo unatakiwa kubaki upendo kuanzia mwanzo hadi mwisho sanasana ukibadilika ubaki kuwa furaha.
Wengi tumekwama kwani mwisho wa upendo wetu ni vilio,dhambi,magonjwa nk
Upendo husaidia, upendo hujenga mahusiano,upendo hujenga udugu nk
"kama unanipenda utanilinda" Watu wengi tumedhani kuuonyesha upendo kwa wapenzi wetu ni kufanya ngono
Tena ngono zembe kisa tukijilinda tuonana kama hatuaminiani. mh!! ujinga tu!!
Mapenzi ya dhati huleta matokeo yenye kuleta matumaini. Nashindwa kuchambua kwa kina kwani
wengi wetu ni wavivu wa kusoma. Na tukiona mada ndefu tunakimbia. lakini hebu nikuombe unapotaka
kuonyesha upendo kwa yeyote hebu fikiria, Je!:thinking: ni mapenzi ya kweli? au tamaa!?
kupenda sio dhambi hata rais anajua kupenda, Tunapopendana Mungu anatupenda zaidi
lakini wengi tunaharibu upendo kwa kukosa umakini. Upendo unatakiwa kubaki upendo kuanzia mwanzo hadi mwisho sanasana ukibadilika ubaki kuwa furaha.
Wengi tumekwama kwani mwisho wa upendo wetu ni vilio,dhambi,magonjwa nk
Upendo husaidia, upendo hujenga mahusiano,upendo hujenga udugu nk
"kama unanipenda utanilinda" Watu wengi tumedhani kuuonyesha upendo kwa wapenzi wetu ni kufanya ngono
Tena ngono zembe kisa tukijilinda tuonana kama hatuaminiani. mh!! ujinga tu!!
Mapenzi ya dhati huleta matokeo yenye kuleta matumaini. Nashindwa kuchambua kwa kina kwani
wengi wetu ni wavivu wa kusoma. Na tukiona mada ndefu tunakimbia. lakini hebu nikuombe unapotaka
kuonyesha upendo kwa yeyote hebu fikiria, Je!:thinking: ni mapenzi ya kweli? au tamaa!?