sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Hakuna ubishi kwamba maisha ukiyapangilia ni mazuri sana,yatakupa amani na kwa ujumla utatamani uendelee kuishi milele,lakini usipkuwa makini utaishia kujuta.Uamuzi wako ndiyo unaotengeneza hatima ya maisha yako,je unavyoamua ni sahihi?kila mtu analo jibu.Ikiwa tayari uko kwenye uhusiano na unamkubali mwingine kwasababu zozote zile,ni dalili kuwa akili yako imekufa.
Katika maisha kuna watu wamekuwa wakilia kwa raha,wengine kwa tabu wengine wamekuwa wakicheka bila hata kuchekeshwa mara nyingi ni kwasababu wanatiwa raha.
Je!mara ya mwisho kufurahi au kukaa na mwenzi wako na mkafurahi ni lini???
Katika maisha kuna watu wamekuwa wakilia kwa raha,wengine kwa tabu wengine wamekuwa wakicheka bila hata kuchekeshwa mara nyingi ni kwasababu wanatiwa raha.
Je!mara ya mwisho kufurahi au kukaa na mwenzi wako na mkafurahi ni lini???