Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
Jamani ukitaka kujua ubaya wa mapenzi, anzisha mahusiano ofisini maana ni sawa na kujifunga bomu kichwani ukisubiri likulipukie wakati wowote!
Mahusiano kazini yasipoathiri utendaji wako (kama vile kutoa upendeleo maalum kwa mpenzi, kutumia muda wa kazi kwa ajili ya mambo binafsi na mpenzi nk) na kukusababishia matatizo kazini, basi mahusiano yakivunjika pia ni balaa jingine, visa, visasi, chuki vinatawala na kufanya mazingira ya kazi kuwa magumu.
Tuchukue tahadhari...
Mahusiano kazini yasipoathiri utendaji wako (kama vile kutoa upendeleo maalum kwa mpenzi, kutumia muda wa kazi kwa ajili ya mambo binafsi na mpenzi nk) na kukusababishia matatizo kazini, basi mahusiano yakivunjika pia ni balaa jingine, visa, visasi, chuki vinatawala na kufanya mazingira ya kazi kuwa magumu.
Tuchukue tahadhari...