incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,229
- 3,525
Habari wakuu, maada hapa ni kwamba, Serikali iruhusu kusaidia mtambo maalumu kwa ajili ya kukatisha Uhai (kifo) kwa watu wenye uhitaji na utayari kwa sababu maalumu.
Kwa sababu zifuatazo kumekuwa na wimbi la watu kujiua kikatili vifo vya kutisha, vifo vinavyozua taharuki, vifo vyenye maumivu makali kupitiliza, Kuna vifo watu wanajichinja, Watu wanajiwasha moto, Watu wanajinyonga, Watu wanakunywa sumu ambazo huwauwa kwa kukatakata utumbo na kupelekea vifo vya mateso na maumivu makali mno kwa hiari hao,
Katika kuzingatia uhuru binafsi naamini hata haki ya kuchagua kuishi na kuchagua kutoishi ilipaswa izingatiwe, kama haki ya kuishi inatambulika ilipaswa pia haki ya kuchagua kutoishi iwepo maana vyote ni uhuru binafsi,
Hata hivyo kisheria haki ya kutoishi inatambulika sema inatambulika Inderect ndio maana inafahamika ni kosa kisheria kufanya attempt ya kujiua ila sio kusa kisheria ukishajiua, mtu akishajiua hakuna kesi inabaki kuzika tu na kusahau,
Hivyo katika hali ya kutetea haki na uhuru binafsi napendekeza mahospitalini au katika ofsi za vijiji na kata zitolewe mashine maalum za kukatisha maisha kwa wenye uhiari na sababu maalumu kama moja ya kulinda haki ya maamzi binafsi kwa wanaohitaji,
Kwa sababu zifuatazo kumekuwa na wimbi la watu kujiua kikatili vifo vya kutisha, vifo vinavyozua taharuki, vifo vyenye maumivu makali kupitiliza, Kuna vifo watu wanajichinja, Watu wanajiwasha moto, Watu wanajinyonga, Watu wanakunywa sumu ambazo huwauwa kwa kukatakata utumbo na kupelekea vifo vya mateso na maumivu makali mno kwa hiari hao,
Katika kuzingatia uhuru binafsi naamini hata haki ya kuchagua kuishi na kuchagua kutoishi ilipaswa izingatiwe, kama haki ya kuishi inatambulika ilipaswa pia haki ya kuchagua kutoishi iwepo maana vyote ni uhuru binafsi,
Hata hivyo kisheria haki ya kutoishi inatambulika sema inatambulika Inderect ndio maana inafahamika ni kosa kisheria kufanya attempt ya kujiua ila sio kusa kisheria ukishajiua, mtu akishajiua hakuna kesi inabaki kuzika tu na kusahau,
Hivyo katika hali ya kutetea haki na uhuru binafsi napendekeza mahospitalini au katika ofsi za vijiji na kata zitolewe mashine maalum za kukatisha maisha kwa wenye uhiari na sababu maalumu kama moja ya kulinda haki ya maamzi binafsi kwa wanaohitaji,