Mwl Kichuguu,
Nakubalina na wewe kuwa distortion ni kitu kibaya sana.......nilipoisoma habari uliyoiweka nikamsikitikia Mh Zitto......."pengine" alikuwa so genuine akimjibu Lingson............nimesema pengine nikiwa na maana......no body is sure kwamba he meant what he said...........na kutokana na hilo watu tofauti huja na perceptions na analysis mbali mbali........hili hatuwezi kulizuia......wengine wamekuwa victims to some circumstances kwa the so claimed "tafsiri mbovu mbovu" kama za mwandishi wa Absalom.........na nilivyomuelewa Mkuu Absalom ni kwamba yeye anaruhusu open analysis.....which may be termed distortion in this case...............
....sasa how do we deal with such situations..........tulalalmike kuwa tumenukuliwa vibaya na kwa nia mbaya kwa kuwa una wapinzani?......I usually call this as "a baby cry"........habari yako inapokuwa distorted..........kuna ubaya gani/unaonaje uki-clarify.......na kama mtu umekuwa offended with obvious distortion.........si kuna taratibu zake......au?
watu wanaposema siasa ni mchezo mchafu.....THEY REALLY MEANT IT!
Omega......ameandika hapa kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe.........mambo mengi tu hapa JF yameandikwa na yamenukuliwa (kutoka kwa wanaJF wenye nick names mpaka wenye majina yao halisi)...........either kwa ubaya.....na mengine mazuri tu na yamefanyiwa kazi.........ushahidi upo........
Kumbuka issue ya "Air Uchumi wa Lowassa"
Forum aliyokuwepo Lowassa mpaka kuzungumzia uchumi wetu unapaa........haikuwazuia wana JF wakiongozwa na Mwanakijiji kumshukia Lowassa.......despite kuendelea kutetea hoja yake kwa facts....and ofcourse alipingwa vikali kwa facts..........lakini a plausible action ya Lowassa alisimama bold kujibu....kuna waliomuona "amejibu" na kuna sie tulioendelea kumuona "kachemka"...........
besides........alicho-suggest Mh Zitto kwa Lingson is not the end of the world.........it was a suggestion kama alivyoombwa atoe mfano........kuwa-crush akina Absolom kwa waliyoaandika its very easy........au anaweza kuja sema otherwise or ku-emphasize alichomaanisha...............
Swali la msingi ulilouliza ni kuwa tuwa-protect vipi hapa JF watu wanaotumia majina yao halisi e.g Mh Zitto......
Aina ya protection itategemea sana na level ya exposion ya ideas za mtu mwenyewe.........something very difficult ku-control kutokana na level of freedom tuliyonayo hapa...........watu wako huru kusema chochote ili mradi hawaendi kinyume na conditions za JF........
pili JF ni chombo rasmi na distortion ikafanyika kuichafua JF na wana JF then hatua/taratibu zipo dhidi ya "distorters".........nafikiri pia mhusika inabidi aongee na Admin wa JF kuelezea the whole distortion.............
tatu.....watu tuwe makini na tunachokiandika
Nakubalina na wewe kuwa distortion ni kitu kibaya sana.......nilipoisoma habari uliyoiweka nikamsikitikia Mh Zitto......."pengine" alikuwa so genuine akimjibu Lingson............nimesema pengine nikiwa na maana......no body is sure kwamba he meant what he said...........na kutokana na hilo watu tofauti huja na perceptions na analysis mbali mbali........hili hatuwezi kulizuia......wengine wamekuwa victims to some circumstances kwa the so claimed "tafsiri mbovu mbovu" kama za mwandishi wa Absalom.........na nilivyomuelewa Mkuu Absalom ni kwamba yeye anaruhusu open analysis.....which may be termed distortion in this case...............
....sasa how do we deal with such situations..........tulalalmike kuwa tumenukuliwa vibaya na kwa nia mbaya kwa kuwa una wapinzani?......I usually call this as "a baby cry"........habari yako inapokuwa distorted..........kuna ubaya gani/unaonaje uki-clarify.......na kama mtu umekuwa offended with obvious distortion.........si kuna taratibu zake......au?
watu wanaposema siasa ni mchezo mchafu.....THEY REALLY MEANT IT!
Omega......ameandika hapa kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe.........mambo mengi tu hapa JF yameandikwa na yamenukuliwa (kutoka kwa wanaJF wenye nick names mpaka wenye majina yao halisi)...........either kwa ubaya.....na mengine mazuri tu na yamefanyiwa kazi.........ushahidi upo........
Kumbuka issue ya "Air Uchumi wa Lowassa"
Forum aliyokuwepo Lowassa mpaka kuzungumzia uchumi wetu unapaa........haikuwazuia wana JF wakiongozwa na Mwanakijiji kumshukia Lowassa.......despite kuendelea kutetea hoja yake kwa facts....and ofcourse alipingwa vikali kwa facts..........lakini a plausible action ya Lowassa alisimama bold kujibu....kuna waliomuona "amejibu" na kuna sie tulioendelea kumuona "kachemka"...........
besides........alicho-suggest Mh Zitto kwa Lingson is not the end of the world.........it was a suggestion kama alivyoombwa atoe mfano........kuwa-crush akina Absolom kwa waliyoaandika its very easy........au anaweza kuja sema otherwise or ku-emphasize alichomaanisha...............
Swali la msingi ulilouliza ni kuwa tuwa-protect vipi hapa JF watu wanaotumia majina yao halisi e.g Mh Zitto......
Aina ya protection itategemea sana na level ya exposion ya ideas za mtu mwenyewe.........something very difficult ku-control kutokana na level of freedom tuliyonayo hapa...........watu wako huru kusema chochote ili mradi hawaendi kinyume na conditions za JF........
pili JF ni chombo rasmi na distortion ikafanyika kuichafua JF na wana JF then hatua/taratibu zipo dhidi ya "distorters".........nafikiri pia mhusika inabidi aongee na Admin wa JF kuelezea the whole distortion.............
tatu.....watu tuwe makini na tunachokiandika