Maoni yatolewayo na wanasiasa wajulikanao hapa JF yalindwe vipi?

Naona Modereta kasafisha kidogo thread hii..:D Kweli nilishangaa sana kuona upana wa tofauti za watu katika uelewa contents za maandishi.

...... Ni rahisi kuvumilia iwapo posts zao zimetumika magazetini bila kupindishwa kwa sababu publicity ndicho kitu wanachotaka pia, lakini inaumiza sana iwapo posts hizo zimepindishwa na kuharibu malengo yake.

Jambo kubwa lililokuwa kichwani mwangu wakati ninaanzisha thread ilikuwa ni kuona kama website hii copyright protection. Na kama haina, tujadiliane nini cha kufanya ili kuwe na kitu cha namna hiyo kwa sababu nimeshaona websites nyingi zilizo copyright protection kuzuia matumizi holela ya contents zake bila kibali. Kukiwa na utaratibu huo wa copyright protection, basi itakuwa ni vigumu kwa waandishi wa habari kupotosha posts za hapa kwa vile watatakiwa waonyeshe jinsi wanavyotumia posts hizo kwenye magazeti yao kabla hawajapewa kibali cha kuzitoa magazetini.

The fact kuwa internet content iko easily accessible siyo warrant ya content hiyo kuwa abused kwa namna yoyote. Kumbuka kuwa mwandishi wa habari anapokopi contents za website freely bila ridhaa ya mwenye website hiyo na kuziweka kwenye gazeti lake ambalo anauza kwa faida yake binafsi kipesa, hiyo ni sawa kabisa na mwandishi huyo kuuza kitu alichopata kwa njia ya wizi.

Kuna sehemu kwenye hii mada Mkuu Invisible alieleza yafuatayo

Kuhusiana na JF:

Ni ngumu kwa mwandishi kuupotosha ukweli kuhusiana na alichoongea mwanasiasa hapa JF, JF si blog kusema haitachukua hatua dhidi ya mtu aliyeupotosha ukweli wa habari flani iliyoandikwa humu endapo itatokea imefanywa hivyo kwa makusudi. Ikitokea mwanasiasa ambaye amejiandikisha hapa kwa jina lake ameandika hapa kitu sensitive na akanukuliwa vibaya na vyombo vya habari na akataka JF tumsaidie kuchukua hatua tunachukua hatua kweli, maana habari yenyewe inakuwa bado ipo hapa na iko public na gazeti linalokuwa limeinukuu vinginevyo itabidi limwombe msamaha mhusika!

Hatuzuii mtu kutumia contents zilizo JF, ila kuzitumia kinyume ya zilivyowekwa ni kosa kubwa..........

Mkuu Invisible......je tunaweza kusema in short maandishi ya hapa JF yako "Copyright Protected?"....au unachozungumza hapo juu ni tofauti?
 
Kumbuka kuwa forum siyo press conference; hivyo siyo mahali ambapo mchangiaji anatoa maoni ambayo yana-reflect msimamo wake rasmi wa kuweka kwenye headlines. .

- Great Thinking, by a Great Thinker. Anyways I am out of this I mean for really!

Respect.


FMEs!
 

- Great Thinking, by a Great Thinker. Anyways I am out of this cool aid, I mean for really!

Respect.


FMEs!
Mbona unaturudisha tuliko toka mzee wangu; unataka kusema kuwa hukuiona hii hapa chini au unatafuta ushindi wa aina fulani. Sikukuambia hivi jana nawe ukakubaliana nami kwa kuweka tick yako pale?

...............
.....
.....

Kwa kurekebisha tu, nitakubaliana nawe kwa kufuta neno langu la "press conference," lakini hoja yangu kubwa inabaki pale pale kuwa wasichuke post moja na kuifanya habari kamili bila kuiunganisha na premises zake zote na vile vile kupata uthibitisho kutoka kwa mchangiaji. Inawezekana mchangiaji akawa anatoa vipande vipande kabla ya kuungnsiha, wewe mwenyewe FMES umewahi kutuwekea post za namna hiyo na kuacha kuwa tunakufuatilia kwa siku kadhaa hadi unapomaliza mada yako.


Ni kweli nilisema vibaya na nikafanya marekebisho, lakini sasa wewe unataka kurudi tena hapo hapo; unatafuta nini. Huoni unanirudisha kwenye jambo hilo hilo ninaloongelea la kuchukua post moja na kuifanyia headline gazetini bila ya kuangalia discussion yote kwa jumla?

Mzee FMEs, inaelekea kuwa nilikuwa sijakuekewa sawasawa. Ingawa huwa ninafurahia sana kusoma posts zako unapokuwa unaripoti matukio ya straight line (1-D) kama vile maamuzi ya vikao vya kisiasa, matamshi na matendo ya watu mbalimbali kulingana na data zako. Hata hivyo, nakiri kuwa sijawahi kukufuatilia jinsi unavyoshiriki kwenye mijadala ya multiple dimensions (n-D) na kuunganisha mawazo ya watu mbalimbali wanaotofautiana na ya kwako. Kwenye mjadala huu, dimension yako pekee ilikuwa ni kuhusu Zito, ukasahau dimensions nyingine kubwa ya kulinda posts zisitumiwe vibaya magazetini. Nimeona ulivyokubaliana na wachangiaji wote walioonyesha kukubaliana na wewe kuhusu Zito hata kama walikuwa na misimamo inayopishana kabisa kuhusu namna ya kulinda posts za forum zisitumiwe magazetini kiholelea.
 
Mbona unaturudisha tuliko toka mzee wangu; unataka kusema kuwa hukuiona hii hapa chini au unatafuta ushindi wa aina fulani. Sikukuambia hivi jana nawe ukakubaliana nami kwa kuweka tick yako pale? Ni kweli nilisema vibaya na nikafanya marekebisho, lakini sasa wewe unataka kurudi tena hapo hapo; unatafuta nini. Huoni unanirudisha kwenye jambo hilo hilo ninaloongelea la kuchukua post moja na kuifanyia headline gazetini bila ya kuangalia discussion yote kwa jumla?

Mzee FMEs, inaelekea kuwa nilikuwa sijakuekewa sawasawa. Ingawa huwa ninafurahia sana kusoma posts zako unapokuwa unaripoti matukio ya straight line (1-D) kama vile maamuzi ya vikao vya kisiasa, matamshi na matendo ya watu mbalimbali kulingana na data zako. Hata hivyo, nakiri kuwa sijawahi kukufuatilia jinsi unavyoshiriki kwenye mijadala ya multiple dimensions (n-D) na kuunganisha mawazo ya watu mbalimbali wanaotofautiana na ya kwako. Kwenye mjadala huu, dimension yako pekee ilikuwa ni kuhusu Zito, ukasahau dimensions nyingine kubwa ya kulinda posts zisitumiwe vibaya magazetini. Nimeona ulivyokubaliana na wachangiaji wote walioonyesha kukubaliana na wewe kuhusu Zito hata kama walikuwa na misimamo inayopishana kabisa kuhusu namna ya kulinda posts za forum zisitumiwe magazetini kiholelea.

- Nimekupata mkuu, tuendelee kukata ishus, taifa liko pabaya mkuu!

Respect.


FMEs!
 
Back
Top Bottom