Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Umepatia kidogo, ni kweli niliwahi kuwa kiongozi wa CCM, na mzee wangu alikuwa mfurukutwa wa CCM na Mama yangu pamoja na ndugu zangu wote.
Ulichokosea: Tido hakufukuzwa ila mkataba wake uliisha na Serikali ikaamua kutoendelea na mkataba wake. Jingine ni kuwa awepo Tido asiwepo kwangu hanipunguzii tija nafanya kazi kulingana na mkataba wangu wa kazi unavyonielekeza sasa kuwepo au kutokuwepo kwake kunahusiana vipi na mimi?
Mwisho: Usijipendekeze kwa kujifanya unanijua sana, CV yangu iko wazi na kazi zangu zinajieleza uwezo wangu sihitaji wahuni kama nyie kunizungumzia. BTW - CCM ni chama cha siasa kama kilivyo chama kingine huna uwezo wa kuniamualia kwasababu sijawahi kuja kukuomba msaada. So yes i support CCM and CHADEMA pale napoona wanafanya vizuri, wakikosea na likinigusa nitalisema vilevile bila kuogopa vitisho au matusi....that's how politics should be not that of few hooligans.
njoo arusha 'wahuni' wakufunze adabu.