Maoni yangu dhidi ya "Baadhi ya wananchi wahuni" wa Arusha kujaribu kuzuia wanahabari wa TBC

dotto athumani.jpg

Huyu ni nani?
Simtishii maisha, ila asije akajiloga akakatiza mitaa yetu, huwezi kutuita wahuni halafu tukuache hivi hivi?
kama vipi karipoti polisi umetishiwa maisha unless kama wewe unajiamini uchune
 
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.

NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.

TBC ni gamba ambalo after 2015 litavuliwa na Tido atarudishwa... Mchakato majimboni sasa...
 
tbc jina tu limebaki. Tusubiri tuone kitakachofuatia. Tido 2 aliweza kuipa hadhi. Nahyo dhana kwamba wote ni wana CDM ni akilizako 2. Ila tahadhari tbc
 
Afadhali wewe umejitaja mwenyewe, Kama huridhiki na TBC kwanini unaendelea kutazama?
nina zaidi ya miezi nane sija wahi kutazama TBC kwa mapenzi yangu labda kama nimepita sehemu napata chakula au kinywaji nikute wameweka TBC...mara nyingi hupigiwa simu watu wakiataka kujua ukweli juu ya taarifa mliyoirushana kama ndivyo ilivyokuwa au ilivyo..
 
View attachment 51156

Huyu ni nani?
Simtishii maisha, ila asije akajiloga akakatiza mitaa yetu, huwezi kutuita wahuni halafu tukuache hivi hivi?
kama vipi karipoti polisi umetishiwa maisha unless kama wewe unajiamini uchune

Now u know me nakusubiri kwa hamu siku utakayonitafuta na ukitaka nitakupa namba ya nyumba niliko. Ndo mnavyowatishia watu na siasa zenu za kizamani...unabana pua kirahisi kirahisi eti nisije kulogwa pumba kabisa wee!!
 
Narudia kwa mara elfu na mia..."baadhi ya wananchi wahuni" ambao walijaribu kuwazuia waandishi wa habari kutoka TBC kufanya kazi zao, sasa nyie mnaojadili mie nimetumwa kuitetea TBC na CCM hilo la kwenu, kama mtu ameumia kwa kuwa nimetumia neno "UHUNI" basi aende akajipozee na CHANG'AA au kilevi kinachompendeza, lazima mjifunza uvumilivu pumbafu zenu kabisa...matusi matusi nyie mnayajua au mnasikia tu.

Mimi naheshimu sana maoni yenu hasa kwa kuwa wengi mmeguswa kiitikadi, na nitawajibu kulingana na staili utakayoitumia kujenga hoja yako, ukija kishabiki unalambwa kishabiki vile vile. Kwanza wengi wenu waoga mnazungumza nyuma ya pazia, nawaona wengine wameamua kuingia uanachama kwa ajili ya kushabikia upuuzi wa wanaodhani siasa ni chuki au matusi. Mbona sijawahi kusikia viongozi wenu wakitamka matusi wanapojenga hoja nyie mmetoa wapi staili hiyo?

Nilitarajia uone ni jinsi gani watanzania wanaamka toka usingizi mzito wa kulishwa propaganda badala ya ukweli. Nilitarajia uone kwamba wakati sasa umefika wa kuachana na propaganda zisizo na msingi badala yake ninyi waandishi mtoe taarifa balanced. Nilitarajia badala ya kuwakomalia hao "wahuni wako wa Arusha" ungewashauri hao "wahuni wetu wa TBC" kwamba wasipobadilika, basi itafikia wakati watakuwa wanakaa humohumo studio kisha wanatunga story kwani hatutataka kabisa kuwaona mitaani. Kama unabisha, just stay put!
 
Now u know me nakusubiri kwa hamu siku utakayonitafuta na ukitaka nitakupa namba ya nyumba niliko. Ndo mnavyowatishia watu na siasa zenu za kizamani...unabana pua kirahisi kirahisi eti nisije kulogwa pumba kabisa wee!!
Huwa unafika Arusha? kama ndiyo mitaa gani? chode chode kesho usikose pale NMC kama kweli wewe kidume nyagau wewe.....
 
kumbe ndo huyo?? hapa nimeamini maneno ya rwehuzajr...., cameraman dotto athuman...., dogo, acha kuvaa shanga, g-string na kukata viuno,,, bure kabisa!
 
Huwa unafika Arusha? kama ndiyo mitaa gani? chode chode kesho usikose pale NMC kama kweli wewe kidume nyagau wewe.....

Nitafika popote ndani ya Tanzania na hakuna wa kunibabaisha, yaani umekaa badala ya kujenga hoja unatishia maisha yangu...u r so yesterday brother, sitaihukumu CDM kwasababu najua si wote wanaakili za aina yako, sina hakika kama una kadi au unatambulika uanachama wako. Sasa fanya hivi, weka ID yako hapa afu tuone mi na wewe nani ataishi kama digidigi.
 
Nitafika popote ndani ya Tanzania na hakuna wa kunibabaisha, yaani umekaa badala ya kujenga hoja unatishia maisha yangu...u r so yesterday brother, sitaihukumu CDM kwasababu najua si wote wanaakili za aina yako, sina hakika kama una kadi au unatambulika uanachama wako. Sasa fanya hivi, weka ID yako hapa afu tuone mi na wewe nani ataishi kama digidigi.
ID yangu ya nini? wewe njoo kesho NMC utaniona.....
 
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.

NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.


Asiwape taabu huyu Dotto Athmani, kwanza ni beneficiaries wa TBC1, ndio yule Muandaaji wa kipindi cha vijana pia amekwisha wahi kuwa kiongozi wa CCM pia hat Marehemu Baba yake pia amekuwa kiongozi wa CCM.
Bilashaka hana tatizo na TBC kufanya kazi kwa mlengo unaochukiwa na hao wana Arusha. Kabla ya ku post ilipaswa kwanza ajiulize kwanini sio Chanel Ten au ITV na ni TBC?
Soma alama za nyakati DOtto, bilashaka ni miongoni mwa wafanyakazi wa TBC mlio furahishwa na uamuzi wa kuvunjwa kwa mkataba wa Thido Mhando ua siyo eh! kisa mchakaoto majimboni :heh:.Karibu Dotto
 
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.

NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.

Wewe ni mtangazaji wa TBC kipindi kimoja cha burudani. Naamini unatambua madudu ambayo huwa mnayafanya, kwani mmesahau kuwa TBC ni shirika la uma mmeligeuza kuwa TBCCCM mnategemea wasiokuwa ccm wafanye nini ilihali mnatumia kodi zao kwa manufaa ya ccm? Hata mimi ningewapiga mawe. Kule Arumeru mlikuwa mnaripoti habari za ccm pekee mlitegemea nini? Yaani mnabahati inapaswa mmoja wenu au wawili walau akumbane na wananchi wenye hasira kali ndo mtajua uma wa watanzania hauridhishwi na namna mnavyofanya. SHAME ON U TBC

 
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.

NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.

Kimsingi mimi sitaki kuingilia mawazo yako lakini kwanza kabisa mimi ni mmoja ya hao wahuni unao wazungumzia tulio wazuiya TBC kufanya kazi yao,na tulikuwa na sababu za msingi za kuwa zuiya, kwanza wajuwe tumewashtukia kuwa wanafanya kazi zao kwa kuwafurahisha baadhi ya watu lakini pili wajuwe hatuwahitaji wala kuwetegemea kwa maana sisi faida yao hatuoni, na hii ni mesege kwa ccm na serikali yake tumechoka vyombo vyetu vya umma kufanya kazi kwa maslahi ya kundi fulani wenye uwezo kipesa ona sasa sisi umetuita wahuni kwa kua sisi ni masikini lakini huoni uhuni unaofanywa na ccm na serikali yake kwakuo wao wameshika mpini sisi ndo tumeshika makeli
 
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.

NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.

Kila asiyekuunga mkono kwako wewe wamwita nani????
 
wewe ndio mhuni na siku zote ukimwaga mboga nasi tutamwaga ugari kwanini TBC ndio walalamikiwe kila siku kwani hapa TZ kuna TBC tu.
 
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.

NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.


Asiwape taabu huyu Dotto Athmani, kwanza ni beneficiaries wa TBC1, ndio yule Muandaaji wa kipindi cha vijana pia amekwisha wahi kuwa kiongozi wa CCM pia hat Marehemu Baba yake pia amekuwa kiongozi wa CCM.
Bilashaka hana tatizo na TBC kufanya kazi kwa mlengo unaochukiwa na hao wana Arusha. Kabla ya ku post ilipaswa kwanza ajiulize kwanini sio Chanel Ten au ITV na ni TBC?
Soma alama za nyakati DOtto, bilashaka ni miongoni mwa wafanyakazi wa TBC mlio furahishwa na uamuzi wa kuvunjwa kwa mkataba wa Thido Mhando ua siyo eh! kisa mchakaoto majimboni :heh:.Karibu Dotto

Umepatia kidogo, ni kweli niliwahi kuwa kiongozi wa CCM, na mzee wangu alikuwa mfurukutwa wa CCM na Mama yangu pamoja na ndugu zangu wote.

Ulichokosea: Tido hakufukuzwa ila mkataba wake uliisha na Serikali ikaamua kutoendelea na mkataba wake. Jingine ni kuwa awepo Tido asiwepo kwangu hanipunguzii tija nafanya kazi kulingana na mkataba wangu wa kazi unavyonielekeza sasa kuwepo au kutokuwepo kwake kunahusiana vipi na mimi?

Mwisho: Usijipendekeze kwa kujifanya unanijua sana, CV yangu iko wazi na kazi zangu zinajieleza uwezo wangu sihitaji wahuni kama nyie kunizungumzia. BTW - CCM ni chama cha siasa kama kilivyo chama kingine huna uwezo wa kuniamualia kwasababu sijawahi kuja kukuomba msaada. So yes i support CCM and CHADEMA pale napoona wanafanya vizuri, wakikosea na likinigusa nitalisema vilevile bila kuogopa vitisho au matusi....that's how politics should be not that of few hooligans.
 
Back
Top Bottom