Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

KW

Kwanini uniambie nasema uongo? ulitaka nikubaliane na kitu ambacho kwangu mimi naona si kweli, unaishi tabata wewe, au maeneo ya ubungo? kama unaishi maeneo hayo nihakikishie kama kweli kuna shida ya umeme
Niko ubungo Maziwa, umeme umekatika leo kama dakika 31 hivi, nafikiri kuna sehemu wanarekebisha maana hata maeneo ya hostel mabibo ulikatika kwa muda sawa. Ila tatizo nimeliona leo kwa week nzima.
 
Mkuu matatizo yote ya TANESCO chanzo chake ni mikataba ya kifisadi iliyosainiwa kuanzia awamu ya pili na ya tatu IPTL, RICHMOND, SYMBION, ESCROW ETC. TANESCO wanaidai Serikali zaidi ya 120 billioni na kumbuka pia juzi juzi walioomba wapandishe bei ya umeme kwa kufuata taratibu zote lakini walikataliwa na matokeo yake DG wa TANESCO allifukuzwa kazi na baadhi ya mameneja kushushwa vyeo.

Matatizo yote ya Tanesco muhusika Mkuu ni Serikali lakini wamejikausha kama hawahusiki huku Tanesco ikiendelea kuwa na matatizo makubwa sana ya kifedha na madeni chungu nzima ya mikataba ya kifisadi.

Sasa ni dhahiri kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme Dar es Salaam, maana haiwezekani umeme ukatike kila siku na kwa masaa mengi kiasi cha kuharibu mipango ya uzalishaji viwandani.

Sasa ni vema TANESCO watoe taarifa kamili ili sisi wenye viwanda tuweke mpango kamili wa uzalishaji, tunafahamu kwamba serikali ya Tanzania haina kiwanda chochote na wala haina mpango huo.

Hivyo wanaweza kukata umeme wapendavyo na wasipate hasara yoyote, lakini bado hawana mamlaka ya kukomesha wenye viwanda, tunalipa kodi kutokana na uzalishaji viwandani mwetu, hivyo tunastahili kutendewa haki.

Heshima kitu cha bure.
 
Mkuu matatizo yote ya TANESCO chanzo chake ni mikataba ya kifisadi iliyosainiwa kuanzia awamu ya pili na ya tatu IPTL, RICHMOND, SYMBION, ESCROW ETC. TANESCO wanaidai Serikali zaidi ya 120 billioni na kumbuka pia juzi juzi walioomba wapandishe bei ya umeme kwa kufuata taratibu zote lakini walikataliwa na matokeo yake DG wa TANESCO allifukuzwa kazi na baadhi ya mameneja kushushwa vyeo.

Matatizo yote ya Tanesco muhusika Mkuu ni Serikali lakini wamejikausha kama hawahusiki huku Tanesco ikiendelea kuwa na matatizo makubwa sana ya kifedha na madeni chungu nzima ya mikataba ya kifisadi.
Nakulilia Tanzania .
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa ni dhahiri kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme Dar es Salaam, maana haiwezekani umeme ukatike kila siku na kwa masaa mengi kiasi cha kuharibu mipango ya uzalishaji viwandani.

Sasa ni vema TANESCO watoe taarifa kamili ili sisi wenye viwanda tuweke mpango kamili wa uzalishaji, tunafahamu kwamba serikali ya Tanzania haina kiwanda chochote na wala haina mpango huo.

Hivyo wanaweza kukata umeme wapendavyo na wasipate hasara yoyote, lakini bado hawana mamlaka ya kukomesha wenye viwanda, tunalipa kodi kutokana na uzalishaji viwandani mwetu, hivyo tunastahili kutendewa haki.

Heshima kitu cha bure.
Ukiona malori ya mafuta machafu yanakimbizana kuelekea salasala ujue kuna ka mgao ka aina,tunaishi Kwa majenereta Yale ya IPTL
 
Mkuu matatizo yote ya TANESCO chanzo chake ni mikataba ya kifisadi iliyosainiwa kuanzia awamu ya pili na ya tatu IPTL, RICHMOND, SYMBION, ESCROW ETC. TANESCO wanaidai Serikali zaidi ya 120 billioni na kumbuka pia juzi juzi walioomba wapandishe bei ya umeme kwa kufuata taratibu zote lakini walikataliwa na matokeo yake DG wa TANESCO allifukuzwa kazi na baadhi ya mameneja kushushwa vyeo.

Matatizo yote ya Tanesco muhusika Mkuu ni Serikali lakini wamejikausha kama hawahusiki huku Tanesco ikiendelea kuwa na matatizo makubwa sana ya kifedha na madeni chungu nzima ya mikataba ya kifisadi.
Huku kijijini kwangu kukatwa katwa umeme ni jadi na desturi...... hawana muda wala saa

Hata saa tisa usiku
 
Sasa ni dhahiri kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme Dar es Salaam, maana haiwezekani umeme ukatike kila siku na kwa masaa mengi kiasi cha kuharibu mipango ya uzalishaji viwandani.

Sasa ni vema TANESCO watoe taarifa kamili ili sisi wenye viwanda tuweke mpango kamili wa uzalishaji, tunafahamu kwamba serikali ya Tanzania haina kiwanda chochote na wala haina mpango huo.

Hivyo wanaweza kukata umeme wapendavyo na wasipate hasara yoyote, lakini bado hawana mamlaka ya kukomesha wenye viwanda, tunalipa kodi kutokana na uzalishaji viwandani mwetu, hivyo tunastahili kutendewa haki.

Heshima kitu cha bure.

Mtafute Tundu Lissu uwafungulie kesi mahakamani.

Lazima wakulipe.
 
Ni kweli Tanzania nzima umeme ni tatizo lililoshindikana, kuna mikoa kama Lindi, Ruvuma n.k ni kama hakuna umeme kabisa ndio maana mji kama Lindi hauna kiwanda ata kimoja yaani hakuna muwekezaji anayeweza kuweka ata karakana pamoja na gesi inayotoka kusini.
 
Tangu juzi Jumapili saa 8 mchana hadi sasa maeneo ya Vingunguti na Tabata Msimbazi hakuna umeme. Sijui hii Tanzania ya viwanda tunaifikiaje.
 
Hahaha wamenikatia sasa hivi nilikua nakula.ila mi ni mgeni eneo hili kwani huwa wanakata Mara kwa Mara.
 
Back
Top Bottom