Hawakujua kuna siku haya yatatokea.Haya wazanzibari muda wenu huu wa kujidai mshindwe wenyewe tu kuweka mambo sawa mlilalamika sanaa yaani
Ni kweli kuwa ni Rais wa sita na ni awamu ya Tano. Samia anamalizia awamu ya Tano .Siyo awamu ya sita mkuu,Rais wa sita awamu ya tano. Awamu ni miaka kumi
😂😂😂 AiseeMfano ktk uchaguzi wa 2020 angeshinda T.A. Lissu angekuwa Raisi wa Sita Awamu ya Sita .
Eti "mtatamani aendelee kutawala mda mrefu!"Mtapata taabu saana maana Mama Samia is the 'iron lady'! Ukiingia anga zske tu kuvuruga serikali iliyoyaanzisha chini ya JPM, ambayo yy naye slikuwa sehemu ya serikali hiyo lazima apite na weye! Hamtaamini huyu mamaatakavyokuwa zaidi ya Magufuli kwa kutokucheka na nyani! Mama Samia atapandisha viwango vya uongozi kiasi kwamba tutatamani aendelee kutawala kwa muda mrefu! Nafasi ya mwanamke kuchukua madaraka makubwa inaenda kuhakikishwa kwa utendani bora wa Mama Samia! Wezi mmeula wa chuya! Hamna chenu hapa!
Sawa, hawajibiki kutenda kila alichotenda mtangulizi wake, ana room ya kufanyia kazi mapungufu ya mtangulizi wake.Mtoa mada wewe endelea tu kuweweseka. Ila muda utakapo wadia, utajikuta unaamini tu ya kwamba, jemedari wako hayupo tena.
Na sasa Nchi iko mikononi mwa mtu mwingine! Tena ni mama! Na sidhani kama anawajibika kutenda kila alichokitenda huyo mtangulizi wake.
Umenikumbusha awamu ya nyerere kumwachia mzee Mwinyi nchi na sasa magufuli kumwachia mama suluhu.