Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,127
Mkuu Laptan,
Nakubaliana na hoja ... Mwalimu Nyerere aliposema upinzani utatoka CCM alimaanisha kwamba watakapotofautiana kiitikadi na mtazamo kuhusu approach ya maswala mbali mbali. Sasa wengi wa wanaoondoka CCM baada ya kukosa uongozi sio kwamba kinachowatofautisha ni Itikadi, NO, bali ni ulaji ndo unakuwa umeleta shida.
Hapo kwenye mfano wa Kenya naomba tuweke rekodi sawa: KANU ilisambaratika baada ya Mzee Moi kumteua Kenyatta kuwa mgombea urais na kuwaruka wengine ambao walikuwa wanategemea. Waliondoka ni pamoja na huyo Mzee Saitoti (Prof) pamoja na akina Rutto na Odinga, wakaenda kuanzisha Rainbow Coalition (hii nayo ni mfano wa papo kwa papo) ambayo haikudumu kwa sababu hawa watu walikutana ghafla hakuna cha itikadi wala nini, wameona kwamba ulaji anapewa mwingine wakaamua kutimka.
NARC ilipotwaa madaraka, ndoa ya hao wana siasa ilikuwa ya muda mfupi, ndipo akina Odinga, Kalonzo, Rutto, Balala na wengineo walipojitenga na kuanzisha ODM. Bado hao watu walikuwa na itikadi tofauti na wote wanataka ulaji tu na si vinginevyo. Kalonzo Musyoka alikuwa na matarajio makubwa sana, lakini alipoona kwamba hawezi kupata tiketi ya kugombea Urais akaamua kujitenga.
Kwa hiyo hoja yangu iko pale pale kwamba haya mambo ya papo kwa papo ni hatari zaidi maana huwezi kujua hidden agenda ya mhusika.
Keil,
Tahadhari ni jambo la muhimu.Ndiyo maana kwenye hoja yangu ya jana niksizitiza juu ya chama kuandaa darasa la itikadi.Hata Benno malisa tunamkaribisha sana>Hata waziri mkuu aliyejiuzulu anaweza kuwa accomodated na kumpitisha jando ya kisiasa ya CHADEMA
Naendelea kuandika niliyoandika jana muda mfupi baada ya Millya kuchukua uamuzi.
Karibu CHADEMA Millya.Njoo tupige kazi kamanda.......
Sitakuwa cynic ku-question motive yako ya kujiunga na CHADEMA kama ambavyo imekuwa ikisemekana wewe ni mmoja wa watu katika kambi fulani ndani ya chama mwenye ambition kali za kuukwa Urais 2015.Sita-doubt motive yako kuwa ni mkakati wa kuingia ndani na kupata mwanya wa kuihujumu Chadema.
Sitafikiria umejiunga kwa hasira kwa kuwa hukupitishwa kwenye uchaguzi wa EALA.Ni kweli mara nyingi huwa sipendi watu wahame vyama kwa hisiasa kwani hasira kutokana na kukosa objectivity katika maamuzi
Badala yake nitaendelea kutoa maoni kwa chama changu sasa tujiandae kupokea watu na darasa la kutosha la itikadi.Tujiandae sasa kuigeuza fan base kuwa loyal base.
Vijana wote ambao ni wapambanaji wa kweli karibuni CHADEMA.Njooni tujenge chama.....Millya usikubali kuwaacha wenzako nyuma,ndani ya chama chenu hoja haziangaliwi tena.Huko ni itikadi za matusi na ghiliba tu.
Should we continue to vote the same people who have presided over the decline in quality of life in Tanazania for the last 50 years?
Shamefully, these people are openly canvassing a desire to rule Tanzania forever(comment kutoka kwa katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM/msemaji wa CCM)
Tanzanians must reject these ‘political zoo keepers' and stop them in their tracks. And stop them now. During the last 50 years, they have almost transformed Tanzania into the proverbial animal farm where sycophants dominate both the airwaves and print media.
Enough of CCM, Enough of them! The CHADEMA movement is poised to restore confidence in our people. We are providing the platform that would enable the country break out of the present stranglehold. We in the CHADEMA see and share the plight of the suffering citizens. We offer a political platform whose imperative is to rescue Tanzania and reposition it for greater economic development and social well being. As such the first order of business for the CHADEMA-led government would be to secure Tanzania better and to manage it better. The priority will be to end the feeling of insecurity in the country.
The young people of this country deserve much better deal than what they have been getting. Unemployment, deprivation, poverty, hopelessness and insecurity are part and parcel of our young men and women today.
It is my firm belief that politics and democracy must be willing to provide answers to such fundamental societal issues as youth employment.
Wale wote wanaoamini katika dhamira hii ya chadema kwa nchi yetu watajiunga nasi ,watakuwa sehemu ya kusimamia dhamira hii na harakati za kufikia lengo hili.Vijana na wazee karibuni CHADEMA.CCM ilipoteza intergrity baada ya Mwl.Nyerere kutangulia mbele za haki