Nyuki
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 367
- 14
Hakuna alichokosea, tuko kwenye maombolezo na shughuli zingine zinaendelea kama kawaida yeye kwenda mpira sidhani kama inahusiano wowote na maombolezo.
Jaribu kukosoa masuala ya msingi na ya tija kwa taifa letu.JK is doing good with his government bali wenye chuki binafsi ambao walidhani watakuwepo kwenye madaraka milele ndiyo wanaleta yote haya.
Mh. Rais wetu amesha tueleza tujihadhari na tuwaepuke watu wenye nia mbaya na nia ovo ya nchi yetu.
Jaribu kukosoa masuala ya msingi na ya tija kwa taifa letu.JK is doing good with his government bali wenye chuki binafsi ambao walidhani watakuwepo kwenye madaraka milele ndiyo wanaleta yote haya.
Mh. Rais wetu amesha tueleza tujihadhari na tuwaepuke watu wenye nia mbaya na nia ovo ya nchi yetu.