Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #21
Hapa ndipo tunaopokesea Watanzania kwenye hoja/mambo mengi sana. Tuna-personalise mambo bila ulazima wowote.
Rais amekwenda kama Ofisi sio kama Kikwete...kwanza hiyo ziara ya Ivory C. (sijui kama kuna nchi zingine zitakuja) zimetengewa Bilioni 7. Sasa kwa hela hiyo sio Rais tu na Bunge lote (bila kupewa posho..!!) lingetakiwa kufika hapo uwanja wa Taifa kuweka msisitizo zaidi.
hakwenda kama Rais kwani hakuna ulazima wa Rais kwenda; ni kama kwenda kufungua hoteli ile ya Arusha ambapo hakukuwa na ulazima wake. Kama alitakiwa kwenda Rais angeenda Makamu wa RAis au hata Waziri Mkuu.. Au angalau ingekuwa ni mechi ya kugombania nafasi fulani au point fulani muhimu..