Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
OMG! This is 21st Century, WAKE UP!!
OMG ! kumbe Tanzania nayo iko 21st Century !
Hivi ni nchi gani umewahi kusikia mambo kama hayo?!
Hivi ni nchi gani umewahi kuona mambo kama haya kwenye 21st Century
Wakati tunashuhudia haya na tukiwa bado kwenye maombolezo ya kitaifa, Raisi huyu hapa - anamshangilia drogba !
Na bado wapo wanaosema aongezewe kipindi kingine kwani kwa hizi zitihada zake labda tutaweza kutwaa kombe la dunia. Je kombe la dunia litawezaje kuwaletea tumaini hawa watoto ?
Kweli Watanzania tuna priorities za ajabu.