KAUPEPO SAUFA
New Member
- Feb 19, 2014
- 3
- 0
Samahan wana JF, naombeni kusaidiwa, wanaoomba ualimu, kwa waliomaliza 2013, wanatakiwa kuwa na division 3, au four 33 na 34, maana nimeshindwa kuelewa vizuri. Naombeni msaada wenu.
four ya 32_33 also hata km unadivision 1,2,3 unaweza ukaaply
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmTaarifa iliyopo ni kwamba a level mwsho three 25,26 na 27..diploma yoyote,28 -33 certificate.