Sifa moja ya Watanzania ni kufanya mambo kisanii/kishkaji. Bw Reginald mengi alilalamikia kitendo cha polisi kumbambikizia mwanae madawa. Hadi leo hatuambiwi nini kinaendelea. Dr Mwakyembe ameitaja kwenye taarifa yake.
Imefika mahali kama nchi tuache usanii. Hizo ni tuhuma nzito na kama nchi tuna haki ya kujua nini kilijiri. Kama ni tuhuma za uongo au ukweli hatua zichukuliwe. Hata swala la Dowans limeisha kimya kimya, nini kinaendelea, mbona tunafichwa?
Siridhiki na nchi inavyoendeshwa
Imefika mahali kama nchi tuache usanii. Hizo ni tuhuma nzito na kama nchi tuna haki ya kujua nini kilijiri. Kama ni tuhuma za uongo au ukweli hatua zichukuliwe. Hata swala la Dowans limeisha kimya kimya, nini kinaendelea, mbona tunafichwa?
Siridhiki na nchi inavyoendeshwa