Manumba, Tunataka Taarifa ya Mtoto wa Mengi/Mengi

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Sifa moja ya Watanzania ni kufanya mambo kisanii/kishkaji. Bw Reginald mengi alilalamikia kitendo cha polisi kumbambikizia mwanae madawa. Hadi leo hatuambiwi nini kinaendelea. Dr Mwakyembe ameitaja kwenye taarifa yake.

Imefika mahali kama nchi tuache usanii. Hizo ni tuhuma nzito na kama nchi tuna haki ya kujua nini kilijiri. Kama ni tuhuma za uongo au ukweli hatua zichukuliwe. Hata swala la Dowans limeisha kimya kimya, nini kinaendelea, mbona tunafichwa?

Siridhiki na nchi inavyoendeshwa
 
Join Date : 16th February 2012
Posts : 1
Rep Power : 0


Welcome...nadhani tume ikiundwa itakuja na jibu muafaka...nchi ya tume hii kijana!!
 
Mai siunajua mpaka tukumbushane ukisahau wanakupotezea ukikumbusha wanaludi kujitetea ukikazania kiweleweke kama madaktari ndio unapata majibu ya tatizo lako kwa kuwa viongozi wetu walio wengi wanaamini kiongozi ni kusublia jambo litokee na si kuanzisha ama kusimamia jambo kidedea mpaka litokee.
 
Sifa moja ya Watanzania ni kufanya mambo kisanii/kishkaji. Bw Reginald mengi alilalamikia kitendo cha polisi kumbambikizia mwanae madawa. Hadi leo hatuambiwi nini kinaendelea. Dr Mwakyembe ameitaja kwenye taarifa yake. Imefika mahali kama nchi tuache usanii. Hizo ni tuhuma nzito na kama nchi tuna haki ya kujua nini kilijiri. Kama ni tuhuma za uongo au ukweli hatua zichukuliwe. Hata swala la Dowans limeisha kimya kimya, nini kinaendelea, mbona tunafichwa? Siridhiki na nchi inavyoendeshwa
  • Haki ya kujua (the right to be informed) ni ya kikatiba. Lakini haina nguvu ya kisheria kwa Tanzania.So, ni kutulia tusubiri neema za Mungu kwenye hilo. Kwa nchi zingine za Ulaya unaweza kuomba taarifa kutoka kwenye taasisi za kiserikali.
  • Swala la Dowans kulipwa hilo liko wazi. Kisheria, baada ya kusajili kesi iliyotolewa maamuzi nje ya nchi, maamuzi hayo yanakuwa sawa na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za ndani. Swali ni je, kuna mtu au taasisi inayoweza kupinga maamuzi ya mahakama? Malipo ni shughuli za kiofisi sio lazima yatangazwe na magazeti. Tafakari, akili kichwani!
 
Mengi aliwatuhumu publicly na kuwataka Watubu, Wajiuzuru na kuwaambia kama wanaona amelizalilisha Jeshi la polisi kwa kulizushia Uongo, basi Wamshitaki na kwamba yeye amejiandaa na Ushahidi wote. Wako kimya mpaka leo!

Kama Mengi kasema uongo, mbona hawataki kujiosha mbele yetu kwa kumshitaki ili tujue kwamba kweli amelichafua Jeshi la Polisi? Wanaogopa nini!

 
Hivi na yule askari wa kike (Suzan nadhani)aliyeuawa kwa kupoteza msafara wa KIKWETE....iliishia wapi ile?
Nchi hii!
 
Sifa moja ya Watanzania ni kufanya mambo kisanii/kishkaji. Bw Reginald mengi alilalamikia kitendo cha polisi kumbambikizia mwanae madawa. Hadi leo hatuambiwi nini kinaendelea. Dr Mwakyembe ameitaja kwenye taarifa yake. Imefika mahali kama nchi tuache usanii. Hizo ni tuhuma nzito na kama nchi tuna haki ya kujua nini kilijiri. Kama ni tuhuma za uongo au ukweli hatua zichukuliwe. Hata swala la Dowans limeisha kimya kimya, nini kinaendelea, mbona tunafichwa? Siridhiki na nchi inavyoendeshwa

Hii nchi ilishauzwa siku nyingi, sasa huridhiki nini unataka chenji?
 
Nadhani hawa wanaojitia kimbelembele kujibu kwa hili la Mengi wamegwaya. Wasanii siku zote ndivyo walivyo. Polisi wachache wamesababisha tulichukie jeshi zima na migwanda yao.
 
Polisi na TISS haya ni magenge ya kihalifu ,wana mkono kwenye mauaji ya wananchi wengi wasio na hatia kwa faida ya watawala(CCM).
 
Wajameni ACHENI NISEME HATA MKINICHUKIA ACHENI NISEME, HATA MKINI..................... ACHENI NISEME......
"JAKAYA KIKWETE NA BARAZA ZIMA LA MAWAZIRI HAWAFAI HATA KUONGOZA KUWA WAJUMBE WA NYUMBA 10; WOTE WAJIUZULU"


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Sifa moja ya Watanzania ni kufanya mambo kisanii/kishkaji. Bw Reginald mengi alilalamikia kitendo cha polisi kumbambikizia mwanae madawa. Hadi leo hatuambiwi nini kinaendelea. Dr Mwakyembe ameitaja kwenye taarifa yake. Imefika mahali kama nchi tuache usanii. Hizo ni tuhuma nzito na kama nchi tuna haki ya kujua nini kilijiri. Kama ni tuhuma za uongo au ukweli hatua zichukuliwe. Hata swala la Dowans limeisha kimya kimya, nini kinaendelea, mbona tunafichwa? Siridhiki na nchi inavyoendeshwa

Mkuu nchi inaendeshwa kishkaji shkaji unategemea kuna uwajibikaji hapo thubutu
 
Tunataka na taarifa ya tapeli maarufu mjini' papaa musofe ,tuambiwe baada ya kurudisha kiwanja alichovamia cha edwin mlay wa mbezi amechukuliwa hatua gani ?
 
Hivi na yule askari wa kike (Suzan nadhani)aliyeuawa kwa kupoteza msafara wa KIKWETE....iliishia wapi ile?
Nchi hii!
Kumbe aliuwawa,maskini.Si walitangaza kuwa alijiua au? lakini kitaa walikuwa wakisema kiongozi wake ndiye aliyepotosha msafara
 
Tunataka na taarifa ya tapeli maarufu mjini' papaa musofe ,tuambiwe baada ya kurudisha kiwanja alichovamia cha edwin mlay wa mbezi amechukuliwa hatua gani ?

Si hayo tu jamani ni mengi na meno ya tembo kule zanzibar yaliyokamatwa kwenye meli yakisafirishwa yamefikia wapi mbona kimya jamani nchi hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Back
Top Bottom