Mantiki ya maandamano haigusi mahitaji ya wananchi yamefeli kabla ya kuanza

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Huu ndio ukweli mtupu.

Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono.

Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa.

Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa.

Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku.

DUNDERHEADS
 
Huu ndio ukweli mtupu.

Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono.

Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa.

Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa.

Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku.

DUNDERHEADS
Unaangaika kama kuku anayetaka kutaga.
 
Huu ndio ukweli mtupu.

Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono.

Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa.

Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa.

Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku.

DUNDERHEADS
Hujui hata maana ya maandamano mpuuzi wewe. Nelson Mandela alifungwa 27 yrs kule South kulikuwa Hkuna zahanati.
Mshamba wewe nenda ukalimie uwanja wa ndege wa chato
 
Huu ndio ukweli mtupu.

Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono.

Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa.

Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa.

Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku.

DUNDERHEADS
Shule zipi? Walimu tu wa shule za Serikali hawasomeshi watoto wao hizo shule, Hahaaa acha undezi.

Hizi swagwa kawadanganye maiti wenzenu huko, eti elimu bora,
 
Huu ndio ukweli mtupu.

Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono.

Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa.

Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa.

Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku.

DUNDERHEADS
Tangu lini Jingalao akawa n akili au kujua ugumu wa maisha wakati unakaa pale Mromboo kwa kaka yako?
 
Kama hayaungwi mkono watulize kiherehere mbona wanakimbilia kwa wajeda? Ikosiku nao watafeli kuyazuia sjui watakimbilia wapi...
Viongozi walioishiwa upeo hutumia mabavu kwenye Kila jambo lkn mwisho huwajia na wataaibika nisuala la muda tuu!!
 
Huu ndio ukweli mtupu.

Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono.

Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa.

Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa.

Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku.

DUNDERHEADS

Basi waache waandamane
 
Huu ndio ukweli mtupu.

Huwezi kuibuka na hoja zako za maslahi yako halafu ukataka uungwe mkono.

Watu wanataka Elimu bora na shule zinajengwa.

Watu wanataka Zahanati nazo zinajengwa.

Ajira zimeanza kutolewa kwa kasi halafu wewe unaibuka na Maandamano ya kupigania ulaji wa uongozi na ruzuku.

DUNDERHEADS
Wataandamana sebuleni na midomoni kwao.
 
Back
Top Bottom