Huyu jamaa (Manji) aliwagombanisha hawa vijana(Orijino Comedi, Masanja Mgandamizaji ) na mheshimiwa Mengi akawatoa Channel 5 kwa mbwembwe na trip ya UK na mishahara mizuri, hadi ikafikia hawa vijana (Comedians) wakawa wanamchana Mengi kwa kujiamini hata aibu hakuna!
Hapo siwalaumu sana, kwa uwezo wangu wa kuwatizama ninaamini ni ukosefu wa uelewa (Shule) na njaa! Kinachoniumiza ni yule kijana kuugua mda mrefu bila msaada wa Manji, mpaka amepewa msaada na Mr President! Sasa huyo Manji msaada wake uko wapi!
You peaple, you need to be smart, kama mwisho wenu umekaribia! Hawa jamaa wa jamii ya Asia, especially akina Manji wanapenda short-cut, kufanikisha interest zao bila siye kujitambua, maana mda wote tumetanguliza njaa mbele!
Mwenye taarifa na huyo kijana anaendeleaje kiafya atujuze wakuu! Inauma sana. Huyu jamaa ni miongoni mwa watu tunaotakiwa kuwarudisha kwao! Anapenda sana kutumia weakness zetu kujipatia hela (FISADI), Nikikumbuka issue ya NSSF yale Warehouse pale Ubungo!
Mabadiliko mhimu ili watu kama hawa tuwashughulikie! CCM lazima ipumzishwe, iende likizo kama siyo kufa kabisa ili tusafishe nchi na uozo huu! Nawakilisha hoja!
Hapo siwalaumu sana, kwa uwezo wangu wa kuwatizama ninaamini ni ukosefu wa uelewa (Shule) na njaa! Kinachoniumiza ni yule kijana kuugua mda mrefu bila msaada wa Manji, mpaka amepewa msaada na Mr President! Sasa huyo Manji msaada wake uko wapi!
You peaple, you need to be smart, kama mwisho wenu umekaribia! Hawa jamaa wa jamii ya Asia, especially akina Manji wanapenda short-cut, kufanikisha interest zao bila siye kujitambua, maana mda wote tumetanguliza njaa mbele!
Mwenye taarifa na huyo kijana anaendeleaje kiafya atujuze wakuu! Inauma sana. Huyu jamaa ni miongoni mwa watu tunaotakiwa kuwarudisha kwao! Anapenda sana kutumia weakness zetu kujipatia hela (FISADI), Nikikumbuka issue ya NSSF yale Warehouse pale Ubungo!
Mabadiliko mhimu ili watu kama hawa tuwashughulikie! CCM lazima ipumzishwe, iende likizo kama siyo kufa kabisa ili tusafishe nchi na uozo huu! Nawakilisha hoja!