Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Hawa mafisadi wana hela za mchezo, inamaana wanazuia magazeti yote yasiuzwe, what if wakirudia kuiandika?
They will keep on buying them!
Hawa mafisadi wana hela za mchezo, inamaana wanazuia magazeti yote yasiuzwe, what if wakirudia kuiandika?
Huyu si ndo yule tajiri mfadhili wa yanga na kama nakumbuka kuna wakati alilipia fedha wa watazamaji wote wapenzi wa yanga waliokwenda kuangalia mechi ya yanga na timu ambayo siikumbuki.Manji ni mtu anayeheshimika katika jamii kama ni kweli alipe fedha hiyo ili ziweze kwenda kututatua matatizo ya wananchi wa chini.
Huyu si ndo yule tajiri mfadhili wa yanga na kama nakumbuka kuna wakati alilipia fedha wa watazamaji wote wapenzi wa yanga waliokwenda kuangalia mechi ya yanga na timu ambayo siikumbuki.Manji ni mtu anayeheshimika katika jamii kama ni kweli alipe fedha hiyo ili ziweze kwenda kututatua matatizo ya wananchi wa chini.
ni nini faida ya kumtaka ahame na si kumtaka alipe deni
vinginevyo afilisiwe mali inayolingana na thamani ya deni?
Saa 24 hazijaisha? Bado yupo au keshaondoka?