Tetesi: Mangungu akataa kujiuzulu nafasi yake Simba SC

BREAKING NEWS: MANGUNGU AKATAA KUJIUZULU

Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
#FutbalPlanetUpdates

Nb: Hatoki mtu hapaView attachment 2964319
watasema ametumwa na yanga. soon.
 
Back
Top Bottom