Baada ya Shetani kugundua kuwa siku hizi mapenzi haumizi tena kama zamani ndio akaja na mbinu nyingine ya kutuletea Simba SC Club na Arsenal FCBREAKING NEWS: MANGUNGU AKATAA KUJIUZULU
Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
#FutbalPlanetUpdates
Nb: Hatoki mtu hapaView attachment 2964319
Uto...mbona mnahangaika Sana na Simba?...au maji ya kwenye vidimbwi yamekuwa ya moto ?BREAKING NEWS: MANGUNGU AKATAA KUJIUZULU
Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
#FutbalPlanetUpdates
Nb: Hatoki mtu hapaView attachment 2964319
Sisi ndiyo Simba SC AKA;BREAKING NEWS: MANGUNGU AKATAA KUJIUZULU
Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
#FutbalPlanetUpdates
Nb: Hatoki mtu hapaView attachment 2964319
Yaaah ni kweli mkuuYESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO MPOKEE LEO View attachment 2964325
Bado hawajasemaSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.View attachment 2964337
We kiumbe ni mpumbavu sana alfu upumbavu sio tusi ila wewe ni mpumbavu mno!Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.View attachment 2964337
Kazi yetu ni moja kwenye derby, kuhakikisha wanabadili uongozi wa timu 😂Bora abaki tu