Tetesi: Mangungu akataa kujiuzulu nafasi yake Simba SC

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,825
24,294
Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.

Nb: Hatoki mtu hapa
1713182649221.jpg
 
BREAKING NEWS: MANGUNGU AKATAA KUJIUZULU

Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
#FutbalPlanetUpdates

Nb: Hatoki mtu hapaView attachment 2964319
Baada ya Shetani kugundua kuwa siku hizi mapenzi haumizi tena kama zamani ndio akaja na mbinu nyingine ya kutuletea Simba SC Club na Arsenal FC
 
BREAKING NEWS: MANGUNGU AKATAA KUJIUZULU

Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
#FutbalPlanetUpdates

Nb: Hatoki mtu hapaView attachment 2964319
Uto...mbona mnahangaika Sana na Simba?...au maji ya kwenye vidimbwi yamekuwa ya moto ?
 
BREAKING NEWS: MANGUNGU AKATAA KUJIUZULU

Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
#FutbalPlanetUpdates

Nb: Hatoki mtu hapaView attachment 2964319
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.
JamiiForums1683832807.jpg
 
Baada ya Shetani kugundua kuwa siku hizi mapenzi haumizi tena kama zamani ndio akaja na mbinu nyingine ya kutuletea Simba SC Club na Arsenal FC
Bila kusahau man u

Sema nilichogundua ni jezi nyekundu zna mikosi
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.View attachment 2964337
Bado hawajasema
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.View attachment 2964337
We kiumbe ni mpumbavu sana alfu upumbavu sio tusi ila wewe ni mpumbavu mno!

Kila uzi umeandika upumbavu wako huu
 
Back
Top Bottom