Maneno ya Dkt. Bashiru ni shambulizi kwa Rais Samia na yenye ajenda ya siri. Aitwe haraka na kuhojiwa na chama

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,339
9,766
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe

Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu mkuu mstaafu wa CCM na katibu mkuu kiongozi mstaafu yamekuwa ni maneno yakushangaza na kusikitisha, yamekuwa ni maneno yaliyowashitua wengi,yamekuwa ni maneno yaliyo washangaza wengi, yamekuwa Ni maneno ambayo hayakutegemewa kutoka katika kinywa Cha mtu Kama Dr Bashiru, Yamewashangaza na kuwakeraa wengi, kuwasononesha na kuwakatisha Tamaa.

Ni maneno yaliyoonesha chuki Binafsi kwa mh Rais, Ni maneno yaliyoonesha kuwepo kwa Ajenda ya Siri nyuma,Ni maneno yaliyoonesha uwakilishi wa kakikundi fulani nyuma yake, Ni maneno yaliyo kuja Kama kupima upepo, ni maneno yaliyo kuja kumkatisha Tamaa Mh Rais, ni maneno yaliyokuja kuwagawa wanachama, ni maneno yaliyolenga kumvunja moyo mh Rais, ni maneno yaliyokuja kana kwamba Ni mtego wakutaka kutambua mtizamo wa chama na wananchi, Ni maneno ya kuleta Taharuki. Ni Maneno yaliyokuja Kama kutoa ujumbe au kufikisha ujumbe au kuleta picha fulani Au kutunisha misuri au kutisha japo huwezi ukaitisha Taasisis ya Urais hata siku moja

Hakika Ni Shambulizi kwa Rais, Ni kombola lililorushwa ili kusikiliziaa Nini kitatokea litakapotua, Ni Shambulizi la makusudi lenye lengo maalumu na ajenda maalumu, Halijatokea kwa bahati mbaya na Kama Kuna mtu Anawaza hivyo Amini Nawaambieni kuwa atakuwa anajidanganya, atakuwa hajawaza vizuri,atakuwa amejipa jibu la bila kufikiri kwa kina na kuelewa maana ya kauli hiyo, atakuwa hajatafakari kwa undani wa kauli hiyo. Ni kauli ya Hasira toka kwenye moyo wenye hasira kinyongo na chuki,siyo kauli ya kawaida kutoka kwa kiongozi aliyefikia ngazi ya juu kiuongozi ndani ya chama na serikali na anayepaswa kuwa mnyenyekevu,mtiifu,mwenye kifua Cha Siri, na mwenye kuchungu ulimi wake hasa kwa kutambua kuwa Ni mtu aliyekuwa anafahamu Siri nyingi na mipango mingi ya chama na serikali kutokana na nafasi za kiuongozi alizokuwa nazo, Ni mtu anayepaswa kuheshimu mamlaka na kukosoa kwa staha na kufuata utaratibu ambao hauwezi kuleta Taharuki kwa jamii.

Ndugu zangu iweje kosa kumpongeza mh Rais? Iweje nongwa kumsifia mh Rais kwa kazi nzuri na njema alizozifanya ndani ya muda mfupi? Kwanini asipongezwe? Kwanini asisisfiwe anapofanya vizuri? Kwanini iwe dhambi kumtia moyo na kumpa faraja mh Rais ya kusonga mbele?

Ndugu zangu Wakulima wa nchi hii watashindwaje kumpongeza mh Rais wakati wanaona kazi kubwa na juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi na kuwakwamua kutoka katika umaskini? Wakulima waliokuwa wananunua mbolea ya DAP laki na 40 msimu uliopita watashindwaje kumpongeza nakumsifia mh Rais wanapoona msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP ya Ruzuku inapatikana kwa Elfu 70 tu? Wakulima watashindwaje kumpongeza na kumsifia mh Rais wanapoona Sasa wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa Bei ya mazao Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno? Kwanini wasimpongeze? Ni vipi iwe kosa na kero kumpongeza? Kwanini mtu aumie na pongezi hizi kwa mh Rais? Nini kinachomuuma kwa Rais kupongezwa na kusifiwa? Je anataka kusikia Rais akishambuliwa na maneno mabaya? Au anataka Rais azomewe? Au hafurahishwi na mafuriko ya mapokezi anayoyapata mh Rais kila apitapo na kufika kwa wananchi kuwasikiliza huku akisifiwa na kupongezwa kwa usikivu wake?

Wazazi wanaosomesha watashindwaje kumpongeza mh Rais? Watashindwaje kumsifia mh Rais baada ya kutuliwa mzigo wa kulipiwa Ada watoto wao mpaka kidato Cha sita? Watashindwaje kumshukuru wakati wanaona matumaini ya watoto wao Kuendelea na masomo yao? Watashindwaje kumpongeza wanapoona watoto wao wakiendelea na masomo bila kikwazo Wala kuchangishwa mamichango licha ya uduni wa maisha Katika familia zao? Watashindwaje kupiga magoti kumuombea Afya njema mama huyu mzalendo wa kweli na kipenzi Cha watanzania?

Wanafunzi wa Elimu ya juu watashindwaje kumpongeza na kumsifia Rais wao hasa baada ya kuona ndoto zao zikitimia bila shida baada ya kuwa wote wenye sifa wamepata mikopo na kuruhusiwa kupokelewa vyuoni na Kuendelea na masomo yao? Kwanini wasimpongeze? Wangapi wamewahi kushindwa kufikia ndoto zao za kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo? Wangapi wameteketeza Mali zao Kama ardhi kwa kulipia Ada sekondari Hadi vyuoni watoto wao nikiwepo Mimi Kama mfano wa kuuzwa kwa ardhi nilipokuwa nasoma ili kulipia ada? Wangapi wamekwama njiani kwa kukosa Ada vyuoni? Kwanini leo hii wasimpongeze mh Rais wanapoona wanapata mikopo na kutimiza Ndoto zao

Kuna Nini nyuma ya Dr Bashiru? Kwanini anataka apandikize chuki kwa watanzania? Kwanini anataka kuwafundisha watanzania wamchukie Rais wao? Kwanini Hataki Rais Samia Asisifiwe na kupongezwa anapofanya vizuri? Kwanini Hataki?Nini kinamuuma Dr Bashiru mh Rais akisifiwa na kupongezwa? Anataka Nini ili afurahi moyo wake? Haamini kuwa Huyu ndiye Rais wake? Hamtaki Mama Samia? Anataka Nini?Amepanga Nini Dr Bashiru? Yupo na Nani? Ametumwa Na Nani? Kwa ajenda Gani? Kwa mwaka upi? Kwa malengo gani?kwa njia zipi? Kwakutumia watu wapi na makundi yapi?

Anataka kupanda mbegu gani chamani? Kwanini alete Taharuki kipindi hiki? Kwanini hakufanya hivi Huko nyuma? Kwanini iwe Sasa wakati wa mama Samia?Mbona huko nyuma tulikuwa tunaandaa Hadi makongamano ya kumsifu Rais wetu Hayati Dr Magufuli anapofanya vizuri na Wala hatukuwahi kusikia kauli Kama hii kutoka kwa Dr Bashiru? Kwanini inaonyesha amekosa Heshima kwa Mh Rais? Anataka alazimishe Jambo Gani ili kutimiza ajenda Gani na iliyopangwa na Nani na kuongozwa na kuratibiwa na Nani?

Je Ametangulizwa na watu kuja kupima kina Cha maji? Je ametumwa na watu kuja kupata mwitikio wa Rais? Je, anataka kujibiwa na Rais? Je anataka kukigawa chama chetu? Je, anataka kupandikiza makundi? Je anataka kuleta mbegu gani ndani ya chama chetu?

Mbona hajawahi kufanya haya huko nyuma? Mbona hajawahi kuzungumza haya huko nyuma? Mbona hajawahi popote pale kuwakanya watu wasimsifie Wala kumpongeza kiongozi yoyote anayefanya vizuri? Anataka Rais apongezwe na Nani ikiwa watanzania wanaotumikiwa kupitia ilani yetu wameridhishwa na utendaji kazi wa mh na kuamua kumpongeza na kumsifia mh Rais?

Kwanini anataka kumkatisha Tamaa Mh Rais pamoja na wananchi? Kwanini anataka kuwafundisha ujeuri wananchi? Anataka wananchi waipinge serikali yao?anataka waichukie serikali yao? Anataka waikatae serikali yao? Anataka Nani apongezwe? Nani aipongeze? Je, ilani aliyoisimamia mwenyewe anataka Nani aisifie Inapokuwa inatekelezwa vizuri.

Dr Bashiru amemkosea Rais wetu,ameikosea CCM ,ameikosea serikali na ametukosea wananchi. Amuombe radhi mh Rais,chama, serikali na watanzania wote kwa ujumla wake. Awe muungwana katika hili, ajishushe na kutambua kosa lake, ajisahihishe Kama kweli kauli Ile haikuwa na lengo baya na haikuwa na ajenda ya Siri nyuma ya pazia.

Ccm ni moja, wanaccm ni wamoja na chama ni kimoja.Tuendelee kusimama kwa pamoja Kama chama Na Taifa kwa ujumla, tusimame na Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tusimuache akishambuliwa Wala kukatishwa Tamaa. Shambulizi dhidi ya Rais Samia Ni Shambulizi kwa chama chetu serikali yetu na Taifa letu kwa ujumla ambalo Hilo ndilo ambalo mh Rais wetu amejitoa na kujitolea kulitumikia kwa uzalendo na kwa dhati ya moyo wake wote

Kazi iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Usiwe Kipofu Sababu ya UCHAWA ,kiasi kwamba huwezi kuface Ukweli na Uhalisia .


Mtoa mada, katika mizani ya Uongozi, HUFAI HATA KUA MWENYEKITI WA KIKAO CHA FAMILIA .

Kwann? Kwa Sababu Bichwa lako linaendeshwa na Utumwa.

Wewe na Akina Kibajaji ni sawa tu ,huna nao tofauti !!.
Nataka unijibu swali kuwa Ni lini kauli hiyo ya Mh Dr Bashiru amewahi kuitoa huko siku za nyuma?
 
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe

Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu mkuu mstaafu wa CCm na katibu mkuu kiongozi mstaafu yamekuwa Ni maneno yakushangaza na kusikitisha, yamekuwa ni maneno yaliyowashitua wengi,yamekuwa ni maneno yaliyo washangaza wengi, yamekuwa Ni maneno ambayo hayakutegemewa kutoka katika kinywa Cha mtu Kama Dr Bashiru, Yamewashangaza na kuwakeraa wengi, kuwasononesha na kuwakatisha Tamaa.

Ni maneno yaliyoonesha chuki Binafsi kwa mh Rais, Ni maneno yaliyoonesha kuwepo kwa Ajenda ya Siri nyuma,Ni maneno yaliyoonesha uwakilishi wa kakikundi fulani nyuma yake, Ni maneno yaliyo kuja Kama kupima upepo, Ni maneno yaliyo kuja kumkatisha Tamaa Mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kuwagawa wanachama, Ni maneno yaliyolenga kumvunja moyo mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kana kwamba Ni mtego wakutaka kutambua mtizamo wa chama na wananchi, Ni maneno ya kuleta Taharuki. Ni Maneno yaliyokuja Kama kutoa ujumbe au kufikisha ujumbe au kuleta picha fulani Au kutunisha misuri au kutisha japo huwezi ukaitisha Taasisis ya Urais hata siku moja

Hakika Ni Shambulizi kwa Rais, Ni kombola lililorushwa ili kusikiliziaa Nini kitatokea litakapotua, Ni Shambulizi la makusudi lenye lengo maalumu na ajenda maalumu, Halijatokea kwa bahati mbaya na Kama Kuna mtu Anawaza hivyo Amini Nawaambieni kuwa atakuwa anajidanganya, atakuwa hajawaza vizuri,atakuwa amejipa jibu la bila kufikiri kwa kina na kuelewa maana ya kauli hiyo, atakuwa hajatafakari kwa undani wa kauli hiyo. Ni kauli ya Hasira toka kwenye moyo wenye hasira kinyongo na chuki,siyo kauli ya kawaida kutoka kwa kiongozi aliyefikia ngazi ya juu kiuongozi ndani ya chama na serikali na anayepaswa kuwa mnyenyekevu,mtiifu,mwenye kifua Cha Siri, na mwenye kuchungu ulimi wake hasa kwa kutambua kuwa Ni mtu aliyekuwa anafahamu Siri nyingi na mipango mingi ya chama na serikali kutokana na nafasi za kiuongozi alizokuwa nazo, Ni mtu anayepaswa kuheshimu mamlaka na kukosoa kwa staha na kufuata utaratibu ambao hauwezi kuleta Taharuki kwa jamii

Ndugu zangu iweje kosa kumpongeza mh Rais? Iweje nongwa kumsifia mh Rais kwa kazi nzuri na njema alizozifanya ndani ya muda mfupi? Kwanini asipongezwe? Kwanini asisisfiwe anapofanya vizuri? Kwanini iwe dhambi kumtia moyo na kumpa faraja mh Rais ya kusonga mbele?

Ndugu zangu Wakulima wa nchi hii watashindwaje kumpongeza mh Rais wakati wanaona kazi kubwa na juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi na kuwakwamua kutoka katika umaskini? Wakulima waliokuwa wananunua mbolea ya DAP laki na 40 msimu uliopita watashindwaje kumpongeza nakumsifia mh Rais wanapoona msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP ya Ruzuku inapatikana kwa Elfu 70 tu? Wakulima watashindwaje kumpongeza na kumsifia mh Rais wanapoona Sasa wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa Bei ya mazao Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno? Kwanini wasimpongeze? Ni vipi iwe kosa na kero kumpongeza? Kwanini mtu aumie na pongezi hizi kwa mh Rais? Nini kinachomuuma kwa Rais kupongezwa na kusifiwa? Je anataka kusikia Rais akishambuliwa na maneno mabaya? Au anataka Rais azomewe? Au hafurahishwi na mafuriko ya mapokezi anayoyapata mh Rais kila apitapo na kufika kwa wananchi kuwasikiliza huku akisifiwa na kupongezwa kwa usikivu wake?

Wazazi wanaosomesha watashindwaje kumpongeza mh Rais? Watashindwaje kumsifia mh Rais baada ya kutuliwa mzigo wa kulipiwa Ada watoto wao mpaka kidato Cha sita? Watashindwaje kumshukuru wakati wanaona matumaini ya watoto wao Kuendelea na masomo yao? Watashindwaje kumpongeza wanapoona watoto wao wakiendelea na masomo bila kikwazo Wala kuchangishwa mamichango licha ya uduni wa maisha Katika familia zao? Watashindwaje kupiga magoti kumuombea Afya njema mama huyu mzalendo wa kweli na kipenzi Cha watanzania?

Wanafunzi wa Elimu ya juu watashindwaje kumpongeza na kumsifia Rais wao hasa baada ya kuona ndoto zao zikitimia bila shida baada ya kuwa wote wenye sifa wamepata mikopo na kuruhusiwa kupokelewa vyuoni na Kuendelea na masomo yao? Kwanini wasimpongeze? Wangapi wamewahi kushindwa kufikia ndoto zao za kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo? Wangapi wameteketeza Mali zao Kama ardhi kwa kulipia Ada sekondari Hadi vyuoni watoto wao nikiwepo Mimi Kama mfano wa kuuzwa kwa ardhi nilipokuwa nasoma ili kulipia ada? Wangapi wamekwama njiani kwa kukosa Ada vyuoni? Kwanini leo hii wasimpongeze mh Rais wanapoona wanapata mikopo na kutimiza Ndoto zao

Kuna Nini nyuma ya Dr Bashiru? Kwanini anataka apandikize chuki kwa watanzania? Kwanini anataka kuwafundisha watanzania wamchukie Rais wao? Kwanini Hataki Rais Samia Asisifiwe na kupongezwa anapofanya vizuri? Kwanini Hataki?Nini kinamuuma Dr Bashiru mh Rais akisifiwa na kupongezwa? Anataka Nini ili afurahi moyo wake? Haamini kuwa Huyu ndiye Rais wake? Hamtaki Mama Samia? Anataka Nini?Amepanga Nini Dr Bashiru? Yupo na Nani? Ametumwa Na Nani? Kwa ajenda Gani? Kwa mwaka upi? Kwa malengo gani?kwa njia zipi? Kwakutumia watu wapi na makundi yapi? Anataka kupanda mbegu gani chamani? Kwanini alete Taharuki kipindi hiki? Kwanini hakufanya hivi Huko nyuma? Kwanini iwe Sasa wakati wa mama Samia?Mbona huko nyuma tulikuwa tunaandaa Hadi makongamano ya kumsifu Rais wetu Hayati Dr Magufuli anapofanya vizuri na Wala hatukuwahi kusikia kauli Kama hii kutoka kwa Dr Bashiru? Kwanini inaonyesha amekosa Heshima kwa Mh Rais? Anataka alazimishe Jambo Gani ili kutimiza ajenda Gani na iliyopangwa na Nani na kuongozwa na kuratibiwa na Nani? Je Ametangulizwa na watu kuja kupima kina Cha maji? Je ametumwa na watu kuja kupata mwitikio wa Rais? Je anataka kujibiwa na Rais? Je anataka kukigawa chama chetu? Je anataka kupandikiza makundi? Je anataka kuleta mbegu gani ndani ya chama chetu?

Mbona hajawahi kufanya haya huko nyuma? Mbona hajawahi kuzungumza haya huko nyuma? Mbona hajawahi popote pale kuwakanya watu wasimsifie Wala kumpongeza kiongozi yoyote anayefanya vizuri? Anataka Rais apongezwe na Nani ikiwa watanzania wanaotumikiwa kupitia ilani yetu wameridhishwa na utendaji kazi wa mh na kuamua kumpongeza na kumsifia mh Rais? Kwanini anataka kumkatisha Tamaa Mh Rais pamoja na wananchi? Kwanini anataka kuwafundisha ujeuri wananchi? Anataka wananchi waipinge serikali yao?anataka waichukie serikali yao? Anataka waikatae serikali yao? Anataka Nani apongezwe? Nani aipongeze? Je ilani aliyoisimamia mwenyewe anataka Nani aisifie Inapokuwa inatekelezwa vizuri.

Dr Bashiru amemkosea Rais wetu,ameikosea CCM ,ameikosea serikali na ametukosea wananchi. Amuombe radhi mh Rais,chama, serikali na watanzania wote kwa ujumla wake. Awe muungwana katika hili, ajishushe na kutambua kosa lake, ajisahihishe Kama kweli kauli Ile haikuwa na lengo baya na haikuwa na ajenda ya Siri nyuma ya pazia.

Ccm ni moja ,wanaccm Ni wamoja na chama ni kimoja.Tuendelee kusimama kwa pamoja Kama chama Na Taifa kwa ujumla,Tusimame na Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tusimuache akishambuliwa Wala kukatishwa Tamaa. Shambulizi dhidi ya Rais Samia Ni Shambulizi kwa chama chetu serikali yetu na Taifa letu kwa ujumla ambalo Hilo ndilo ambalo mh Rais wetu amejitoa na kujitolea kulitumikia kwa uzalendo na kwa dhati ya moyo wake wote

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Mpenda nchi!, Si uende ukalime ili nchi iwe na GDP kubwa na hivyo kuiwezesha nchi kuwa tajiri.
Kijana unakesha mitandaoni kuandika nyaraka ndefu ili upate uteuzi na unasema wewe ni mzalendo( nchi haiwezi kupiga hatua katika maendeleo kama nguvu kazi ya taifa imekimbia majukumu ya kufanya kazi na imejikita katika kuandika nyaraka bila kutumwa na mtu yeyote).
NB
Uzalendo ni kufanya kazi ili kuzalisha bidhaa na huduma.( FIKIRIA kama watu wote wakifanya unayoyafanya nchi itaendeleaje?, Je, maendeleo yatakuwepo?).
 
Mpenda nchi!, Si uende ukalime ili nchi iwe na GDP kubwa na hivyo kuiwezesha nchi kuwa tajiri.
Kijana unakesha mitandaoni kuandika nyaraka ndefu ili upate uteuzi na unasema wewe ni mzalendo( nchi haiwezi kupiga hatua katika maendeleo kama nguvu kazi ya taifa imekimbia majukumu ya kufanya kazi na imejikita katika kuandika nyaraka bila kutumwa na mtu yeyote).
NB
Uzalendo ni kufanya kazi ili kuzalisha bidhaa na huduma.( FIKIRIA kama watu wote wakifanya unayoyafanya nchi itaendeleaje?, Je, maendeleo yatakuwepo?).
Ndugu yangu Mimi nina Lima Sana na siliogopi jembe hata ukiangalia viganja vyangu naamini havipo Kama vyako maana vyangu Ni vya mkulima
 
CCM kama chama kaka kwa vyama vingine kilitakiwa kiwe mfano kwa vyama wadogo zake,lakini kwa sababu wanachama wengi wa hiki chama tangu walipoamua kuwaza kwa kutumia matumbo badala ya akili zao tatizo lilianzia hapo. Ina maana mwanachama kuwa na mawazo kinzani na wanachama wenzie ni uhaini? Bashiru pamoja na mapungufu take aliyokuwa nayo nyuma lakini kwa hili yuko sahihi. Sema nadhani ndo utabiri wa nabii Lema unaanza kutimia kuwa wakitumaliza sisi wataanza kushughulikiana wao kwa wao. Sisi tungependa mvurugane mpaka lichama lenyewe liwafie maana halina msaada tena kwa mtu wa kawaida.
 
CCM kama chama kaka kwa vyama vingine kilitakiwa kiwe mfano kwa vyama wadogo zake,lakini kwa sababu wanachama wengi wa hiki chama tangu walipoamua kuwaza kwa kutumia matumbo badala ya akili zao tatizo lilianzia hapo. Ina maana mwanachama kuwa na mawazo kinzani na wanachama wenzie ni uhaini? Bashiru pamoja na mapungufu take aliyokuwa nayo nyuma lakini kwa hili yuko sahihi. Sema nadhani ndo utabiri wa nabii Lema unaanza kutimia kuwa wakitumaliza sisi wataanza kushughulikiana wao kwa wao. Sisi tungependa mvurugane mpaka lichama lenyewe liwafie maana halina msaada tena kwa mtu wa kawaida.
CCM Ina utamaduni wake na utaratibu wake wa namna ya kutoa maoni na mawazo na yakapokelewa na kufanyiwa kazi ndani ya chama
 
Back
Top Bottom