doctorz
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 916
- 228
Heri waliokuwa wanakaa na baba zao wakiongea. Mimi ilikuwa nkitoka shuleni tu nafukuzwa kwenda madrasa kusoma QurAan na Fiqhi. Hadi anafariki hatujawahi kukaa kuzungumza ya kidunya. Lakini kwa hili namshukuru na kumkumbuka sana. That is what has made what I am now. Allah Amweke mahali pema peponi.