HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 2,493
- 4,646
Usiwe na shaka hapo bro.Wewe ndio unamzarau Sheffield, ila kwa hii Man Utd yetu hio mechi na Sheffield inaweza kua kama fainali na wanaweza wakatugonga vilevile kama sio kutoa draw.
Hii timu yetu dakika 90 zote inazocheza mashabiki hua roho mkononi, mpaka tusikie kipenga cha mwisho kinapulizwa ndio tunashusha pumzi kama tumeambulia points3
View attachment 2972827
Wewe jione kama Tobiti na Sheffield ni malaika aliyekuja kukukiga tafu katikati ya safari ngumu 😄😄