Kwa wewe uliyemjua Bruno juzi, utasema wa vimechi viwili viatu, kwa sisi wengine tunaomjua he has been almost for 3 years the best in his position

Hendo captain takataka wa timu iliyobingwa na kulambwa goli 4, hawezi kuwa hata kiungo bora pale Sheffield United, he is just a luck guy who happen to play for Liverpool this season

On Greenwood, hakuna shabiki wa Man Utd ambaye amewahi kumponda huyo dogo kwenye suala la uwezo wake, only concern iliyopo ni kijana mdogo na kumpa majukumu makubwa kwa wakati mwingine ni risk...

Of course Greenwood is a wonder kid, Greenwood is a wonder kid, kwenye vibanda umiza vyetu huku hadi mashabiki wa Arsenal, Chelsea, Liverpool wanamkubali, nadhani hapa duniani ni wewe tu unayempuuza
Umeona namtaja au tunamtaja japo ndo captain aliyeongoza timu kubeba EPL? ... mtu akicheza vimechi vitatu tu hypes kama zote. Saa hii naona mshaanza mlamba nyayo Greenwood mliyekuwa mnamsema ni mtoto nyoronyoro. Akienda vimechi vitatu mtasema the best wonderkid
 
Kwa wewe uliyemjua Bruno juzi, utasema wa vimechi viwili viatu, kwa sisi wengine tunaomjua he has been almost for 3 years the best in his position

Hendo captain takataka wa timu iliyobingwa na kulambwa goli 4, hawezi kuwa hata kiungo bora pale Sheffield United, he is just a luck guy who happen to play for Liverpool this season

On Greenwood, hakuna shabiki wa Man Utd ambaye amewahi kumponda huyo dogo kwenye suala la uwezo wake, only concern iliyopo ni kijana mdogo na kumpa majukumu makubwa kwa wakati mwingine ni risk...

Of course Greenwood is a wonder kid, Greenwood is a wonder kid, kwenye vibanda umiza vyetu huku hadi mashabiki wa Arsenal, Chelsea, Liverpool wanamkubali, nadhani hapa duniani ni wewe tu unayempuuza
Huyo 'takataka' ameshinda kila kitu katika maisha yake ya klabu. Kuwa na angalau na heshima, ingali huyo unayemwona bora, anapambania angalau ashiriki UEFA .. kuhusu greenwood tazama chats za wenzako huko juu utaona clearly huyo unayemwona masihi hivi sasa namna mpaka wengine walikuwa wakimtusi Ole kwa kumpa nafasi.

Na huyo unayesema amekuwa best in his position tangu akiwa huko alipotokea, leta stats zake tulinganishe na wengine kwenye position yake tuone huo ubest wake ndugu.
 
Huo muda wa kukuletea wewe stats ni bora nikafue hata soksi zangu

Kuhusu Hendo kushinda kila kitu (sijui FA, Carling na ngao ya hisani nayo kashinda ) nimekwambia it just happen tu imetokea yupo Liverpool mwaka, hata na Clyne naye kashinda , hata Lovren kashinda , hata Ojo kashinda, hata Origi kashinda lakini ukweli kuwa ni wachezaji walioshinda hayo makombe simply because currently they are Liverpool players unabaki pale pale

Greenwood is a wonder kid, tupe link ya watu kumponda OGS sababu ya kumkumbatia Greenwood kikosini

Mimi naweza kukupa link ya watu kumtukana Hendo (Kuna wakati mlimwita Hendoshoga ) na Klop kipindi mnapiga mark time
Huyo 'takataka' ameshinda kila kitu katika maisha yake ya klabu. Kuwa na angalau na heshima, ingali huyo unayemwona bora, anapambania angalau ashiriki UEFA .. kuhusu greenwood tazama chats za wenzako huko juu utaona clearly huyo unayemwona masihi hivi sasa namna mpaka wengine walikuwa wakimtusi Ole kwa kumpa nafasi.

Na huyo unayesema amekuwa best in his position tangu akiwa huko alipotokea, leta stats zake tulinganishe na wengine kwenye position yake tuone huo ubest wake ndugu.
 
Wakuu ivi hatuwezi kumpata mtu kama anres townsend tumuweke pale mbele? martial hafui dafu..... tukikosa yule dogo basi tuchukue yule dwit gyle zeruzeru wa kizungu anajua boli mno yule
 
Huo muda wa kukuletea wewe stats ni bora nikafue hata soksi zangu

Kuhusu Hendo kushinda kila kitu (sijui FA, Carling na ngao ya hisani nayo kashinda ) nimekwambia it just happen tu imetokea yupo Liverpool mwaka, hata na Clyne naye kashinda , hata Lovren kashinda , hata Ojo kashinda, hata Origi kashinda lakini ukweli kuwa ni wachezaji walioshinda hayo makombe simply because currently they are Liverpool players unabaki pale pale

Greenwood is a wonder kid, tupe link ya watu kumponda OGS sababu ya kumkumbatia Greenwood kikosini

Mimi naweza kukupa link ya watu kumtukana Hendo (Kuna wakati mlimwita Hendoshoga ) na Klop kipindi mnapiga mark time
Sio muda huna, sema hizo stats huna! Hazipo na hazitakuja kuwepo so kuliko kutafuta kitu ambacho hakipo kheri tu ufur hizo soksi.

Alafu mzee baba na ngao ya hisani kabisa you keep bothering kuwa ni kombe ambayo mchezaji kwa ngazi ya klabu anayawazia kuwa ni accomplishment?

Get your facts together. Give your sparks a little time to make fire. Acheni nonsense hypes.
 
Nimekwambia sina haja ya kupoteza muda kukuwekea stats, kama majarida yote ulimwenguni yanamtaja Greenwood ni kijana chipukizi bora anayekuja kwa kasi lakini wewe unabisha, ntapotezaje muda kukupatia takwimu, tafuta wewe, si una pc au simu janja, tafuta

Uliposema kachukua kila kitu ngazi ya klabu ulielewa ulichokuwa unaongea au ndio ulijua upo Jukwaa lenu kule

Mbona FA na Carling hujataja au nayo sio makombe

Speaking about trophies, Community Shield is one them

Bruno Fernandez is the best mid in EPL na Greenwood is the wonder kid, kama roho inauma sana mnunueni De Bryne
Sio muda huna, sema hizo stats huna! Hazipo na hazitakuja kuwepo so kuliko kutafuta kitu ambacho hakipo kheri tu ufur hizo soksi.

Alafu mzee baba na ngao ya hisani kabisa you keep bothering kuwa ni kombe ambayo mchezaji kwa ngazi ya klabu anayawazia kuwa ni accomplishment?

Get your facts together. Give your sparks a little time to make fire. Acheni nonsense hypes.
 
Nimekwambia sina haja ya kupoteza muda kukuwekea stats, kama majarida yote ulimwenguni yanamtaja Greenwood ni kijana chipukizi bora anayekuja kwa kasi lakini wewe unabisha, ntapotezaje muda kukupatia takwimu, tafuta wewe, si una pc au simu janja, tafuta

Uliposema kachukua kila kitu ngazi ya klabu ulielewa ulichokuwa unaongea au ndio ulijua upo Jukwaa lenu kule

Mbona FA na Carling hujataja au nayo sio makombe

Speaking about trophies, Community Shield is one them

Bruno Fernandez is the best mid in EPL na Greenwood is the wonder kid, kama roho inauma sana mnunueni De Bryne
Ni Rooney tu aliyeweza kufikisha goli 17 akiwa kinda hivi..Mason anafuatia..The Kid is deadly..Ni shabiki uchwara tu atakayekataa kuwa huyu dogo ni wonderkid
 
Yeah... Na Greenwood ana goli 15 hivyo bado goli 2 afikie rekodi ya Rooney, wakati kwenye FA ana mechi 1 au 2, Europa ana mechi kadhaa na ligi kuu zimebaki 5

Wakati mwingine wivu unachangia kubisha vitu vilivyo dhahiri shahiri
Ni Rooney tu aliyeweza kufikisha goli 17 akiwa kinda hivi..Mason anafuatia..The Kid is deadly..Ni shabiki uchwara tu atakayekataa kuwa huyu dogo ni wonderkid
 
Naona Solkjaer anachelewesha sana kumuintroduce kikosini Teden Mengi.
miaka 10 iliopita nakumbuka tulikuwa na kundi kubwa sana la wachezaji vijana waliokuwa wanaleta matumaini ya kuja kuleta mapinduzi makubwa kwenye kikosi cha kwanza kama vile (davide petrucci, lingard, zoran tosic, ryan tunnicliffe, ravel morrison, danny drinkwater, rodrigo posebon, ben amos, michael keane na will keane, paul pogba, danny simpson, cathcart, danny welbeck, jonny evans na mdogo wake corry evans) na baadhi yao waliwahi kujishindia tuzo za uchezaji bora wa vijana kwa ngazi ya klabu na hata kitaifa.

bahati mbaya sana kundi kubwa la vijana hao walishindwa kuvihamisha viwango vyao kwenye timu kubwa kadri walivyokuwa wanapewa nafasi jambo lililopelekea baadhi yao kuuzwa na wengine kutolewa kwa mkopo wa muda mrefu (japokuwa si jambo baya) na hata wale waliofanikiwa kuingia kwenye kikosi cha kwanza hawakuwa na muelekeo ulio bora (danny welbeck, tom cleverley, danny gibson) wote hao hawakuwa na good performance iliodumu kwa muda mrefu ukilinganisha na graduate wa class 92,

Na wengineo mfano wa paul pogba, drinkwater walikwenda kuanzisha maisha mapya kwenye vilabu vyengine kimafanikio zaidi

ina maana hata huu uwekezaji wa soka la vijana hauna utofauti na mchezo wa kamari ( mara nyingi umdhaniaye ndiye kumbe siye ), tusisahau hata class of 92 walikuwepo vijana wenye vipaji lakini walishindwa kufanikiwa kisoka ndani ya klabu huku tukishuhudia wachezaji wengineo mfano (nicky butt, paul scholes, phil neville) wakiwa na careers nzuri sana kwenye ulimwengu wa soka na wengineo mfano robbie savage alikwenda kutengeneza maisha mapya

======================================

baada ya takribani miaka 10 hali hii ya kuwa na kundi kubwa sana la vijana tunaotamani kuwaona kwenye kikosi cha kwanza imejirudia tena (mengi, ramazani nasikia ameshaondoka, levitt, garner, laird, gomez naye anatimka, laird, mejbir, puigmal ,mensah, bernard),

kivyovyote inaonekana dhahiri kuna gape kubwa sana la kiushindani kati ya michuano ya vijana na ile michuano tulioizowea (premier league) ndio maana si ajabu kushuhudia vijana wengi wanaofanya vizuri huko chini kushindwa kuendana na mikiki ya kikosi cha kwanza pindi wanapopewa nafasi (mfano andreas perreira alikuwa ni mmoja kati ya wachezaji bora wa reserve lakini huku ukubwani amekuwa wa ovyo sana, muangalie tahit chong anavyoshindwa kuendana na kasi ya ligi kuu lakini akirudi team ya under 23 anafanya vizuri sana)

si vibaya kuweka matarajio makubwa kwa mchezaji fulani kwa kuangalia zaidi ubora wake kupitia soka la vijana hususani pale tu unapokuwa na benchi la ufundi linalojua kuishi na young players, na jambo zuri zaidi kwa sasa klabu ipo chini ya mikono ya mwanadamu aliyelelewa na Fergie (muumini wa kuwapa nafasi vijana kutoka moyoni mwake), uwepo wake klabuni, his vision kuhusiana na kuwapa nafasi vijana wenye DNA za man utd kunazidi kuwapa matumaini vijana mfano wa huyo mengi, levitt, garner, laird, mejbir ya kwamba siku chache zijazo watapata nafasi ya kuingia kikosi cha kwanza kama ilivyo kwa greenwood, chong, scott mctominay na brandon williams

nadhani hii ishu ya kuimpelements young players ni suala la kusubiri uamuzi wa benchi la ufundi likiongozwa na Solskjaer mwenyewe , Mike Phelan, Michael Carrick, Kieran McKenna, goalkeeping coach Richard Hartis, under-23s manager Neil Wood, under-18s manager Neil Ryan, na nicky Butt ambaye ni head of first-team development.

wao ndio wenye uamuzi wa mwisho na wao ndio wenye ufahamu mkubwa juu ya mwenendo wa mchezaji fulani kiukuaji.
naamini Teden mengi atakuwa na nafasi kubwa sana msimu ujao endapo klabu itakapofikia uamuzi wa kumuuza chris smalling, jones, na rojo.

unajua kwa sasa backup pekee ya uhakika tulionayo kikosini ni eric bailly, yule bwana mdogo Tuanzebe inasemekana ni majeruhi mpaka September.

kwenye ile mechi ya astana nilivutiwa zaidi na Dylan Levitt, alipiga complete pass 100

1593896621523.png
===================================
 
Wakuu kuna kutoboa hapa kweli? Au ndio mtaenda kupitia mgongo wa Man City ban

Leicester City: 58 pts

Arsenal
Bournemouth
Sheffield United
Tottenham
Man United

Chelsea: 57 pts

Crystal Palace
Sheffield United
Norwich City
Liverpool
Wolves

Man United: 55 pts

Aston Villa
Southampton
Crystal Palace
West Ham
Leicester City
 
Wakuu kuna kutoboa hapa kweli? Au ndio mtaenda kupitia mgongo wa Man City ban

Leicester City: 58 pts

Arsenal
Bournemouth
Sheffield United
Tottenham
Man United

Chelsea: 57 pts

Crystal Palace
Sheffield United
Norwich City
Liverpool
Wolves

Man United: 55 pts

Aston Villa
Southampton
Crystal Palace
West Ham
Leicester City
Leicester city hawezi maliza ndani ya Top 4, anakwenda na maji

lakn pia tuna Europa League, iko mkononi mwetu
 
Back
Top Bottom