Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,470
usifanye hivyo mkuu, utajiumiza bure, hili tatizo limekuwapo muda mrefu sana ila wengi mmekuwa kwenye self denial.
usifanye hivyo mkuu, utajiumiza bure, hili tatizo limekuwapo muda mrefu sana ila wengi mmekuwa kwenye self denial.
Sure.Maamuzi magumu yasipochukuliwa usiku wa Leo nitashangaa sana
GGMU
But Erick baily alikuwepo pale nje, kwanini kamlazimisha Maguire kucheza?Kabla ya meshi OLE kasema Maguire hakupata muda wa mazoezi baada ya kupona, sio hakupata muda wa kutosha, HAKUPATA MUDA. Alafu akasema kumpanga ni tough decision amefanya.
Hawezi.Mfano ikatokea akashinda zote itakuaje?
KUMFiRE au kumfiraaaMimi naendelea kujifariji kwamba as long as Board imesema iko nyuma ya OLE na haina mpango wa kum FIRE, at least wamezungumzia swala la KUMFIRE.
I think that is an okay direction for me.
Hv kuna mchezaji yeyote aliyetoka dortmund akaja kushine man u?Yani Sancho kama sio yule ... Kama sio yule aisee aliyekuwa anacheza Dortmund.
Ukimlinganisha Pogba aliyecheza UEFA NATIONS LEAGUE na huyu, ni kama vile hawajahi kukutana. Yani hawajuani kabisa.
tumf* re tu wadauKUMFiRE au kumfiraaa