UuuuwiiiiiiMan United lose to Leicester City
Their next five fixtures:
Atalanta (H)
Liverpool (H)
Tottenham (A)
Atalanta (A)
Man City (H)
Hatuna Kochandio leicester city ni wajinga kwa mujibu wa matokeo ya mechi zao ukitoa hii ya leo, tokea ligi ianze hii ni mechi ya pili kushinda.
ujinga wa leicester si upumbavu wa Ole
- leicester city wametoa draw dhidi ya crystal palace
- wametoa draw dhidi ya burnley
- kafungwa europe league
- kafungwa na brighton
- katoa draw dhidi ya napoli
- kafungwa dhidi ya man city
- kamfunga norwich
- kafungwa na west ham
Mfano ikatokea akashinda zote itakuaje?Tukisema kuhusu ubovu wa kocha tunaitwa plastic fans,lakini kwa hali hii kama Ole ataendelea kubwa kocha wa MAN U tutakuja kushituka wakati ambapo tumeshakuwa kama Newcastle, Tottenham na team nyingine ambazo zilikuwa babe zamani ila sasa zimebaki historia.
Itafika muda tutakuja hi team ya kuleta challenge tu kwenye league na sio kuwanis ubingwa.
Hii schedule ya October-November ilivyokaa,kama Ole atapona basi hatawahi kufukuzwa kwenye siku za hivi karibuni.
Kweli, mi natamani aondoke akapate timu ya kiwango chake. Haiwezekani mtu acheze vizuri akiwa timu ya taifa ambayo anakutana na mafundi wenzake na akicheza vibaya kwenye hili litimu letu libovu tumuone eti yeye ndiyo ni mbovu?Pogba hana tatizo lolote ila tatizo hapo ni kocha