Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
kumetokea tofauti ya idadi ya waliopata athari za mafuriko na wale wanaotakiwa kupewa viwanja eneo la mabwepande baada ya mafuriko.badala ya 550 idadi imeongezeka kufikia 650.hii inaashiria kuwa na waathirika hewa wapatao 100.mafisadi hawaadhibiwi ndio maana tatizo la ufisadi haliishi.