Mr Judgemental
New Member
- Nov 16, 2023
- 1
- 0
Bado umakini katika Vetting unahitajika
Kwa tulipofika hii nchi sio salama kabisa tunadanganyana tu.Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.
Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.
Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.
Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Waziri siyo lazima awe Mtaalam. Siyo hitaji la kisheria wala kikatiba.Hata uwe na CV iliyoshiba pages 1000 lakini kama hauna connection sahau teuzi Mkuu.
Nape aliteuliwa Waziri akiwa hana hata Shahada ndiyo amepata kama sio mwaka jana basi mwaka juzi.
Kwahiyo hakuna Vetting inafanyika zaidi ya Connection tu
Sahihi Mkuu, ila kuna haja hiki kipengele kibadirishwe kimepitwa na wakatiWaziri siyo lazima awe Mtaalam. Siyo hitaji la kisheria wala kikatiba.
Hata hivyo, waziri akiwa msomi na Mtaalam wa fani husika kwenye wizara, itaongeza ufanisi.
Labda tuwe na bunge imara, sio hili la mchongoFanyeni mabadiliko ya katiba bunge liwe linafanya vetting na kuwathibitusha wateule.
Huko ndipo kwenye chimbuko la uozo wote.Tatizo wewe unawaona TISS ni wasafi kama "Malaika"
Bunge la CCM!Fanyeni mabadiliko ya katiba bunge liwe linafanya vetting na kuwathibitusha wateule.
Waache wale keki mubashara!Kwa muda wa miaka 3 ya utawala wa Rais Samia, kumekuwa na Teuzi na Tenguzi au kubadilishwa kwa nafasi za Kiutawala kwa wanaoteuliwa na wakati mwingine bila hata kuelezwa sababu.
Samia amekuwa akiteua na kutengua au kuwarejesha watu walioondolewa kazini kwa sababu mbalimbali. Na wapo ambao ameendelea kuwakumbatia licha ya kuwa na kashfa mbaya kiuongozi.
Baadhi ya Viongozi hao ni pamoja na Makonda, Chalamila, Biswalo Mganga, Kingai na wengine wengi.
Hapa tu inaonesha aidha kuna shida katika idara ya Usalama wa Taifa eneo la Mahusiano kwa Umma au Rais anapuuza makandokando yaliyopo nyuma ya anaowateua kwa maslahi yake binafsi.
Mkuu Bunge lenyewe la CCM, mfano mwenyekiti akitaka kumpa cheo cha Waziri mkuu Makonda unafikiri Wabunge wa CCM watampinga?Fanyeni mabadiliko ya katiba bunge liwe linafanya vetting na kuwathibitusha wateule.