Ushauri: Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi ipunguze maafisa utumishi, badala yake iwe na wanasheria wengi wakushauri kuhusu uteuzi wa viongozi

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Maafisa utumishi wa Tanzania wengi hawajua katiba wala sheria nje ya sheria za utumishi. Kwa hivi karibuni maswali mengi yamekuwa yakiibuka kuhusu uteuzi wa viongozi. Inaonekana wazi kwamba wanaopitisha majina kwenda kwa Mhe. Rais siyo wajuzi wa katiba wala sheria ni maafisa utumishi.

Nimeona mjadala wa uhalali wa solicitor General unaoendele katika mtandao wa X, sheria ilitaka awe amefanya kazi ya uwakili miaka kumi na tano ila yeye ameteuliwa akiwa na uzoefu usiofika miaka kumi. Nani alimshauri Rais amteue? Hao maafisa utumishi waliopitisha jalada lake kwa KM kiongozi walisoma sheria ?

Naamini ofisi ya KATIBU Mkuu Kiongozi ikiweka kitengo cha vetting chenye wajuzi wa sheria wapitie na kumshauri itasaidia sana kupata wafu wenye quality na wanapozingatia sheria.

Contrary kama uteuzi ulikuwa sahihi basi wanasheria wawe wepesi kuandaa majibu na kuondoa upotoshaji mitandaoni. Kukaa kimya kunafanya watu waamini hakuna ufuataji wa sheria wa mamlaka za uteuzi.
 
Kwa nafasi za kimkakati, Katiba ma Sheria zinabaki tu kuwa muongozo(guide lines) lkn hazifungi mikono ya mamlaka katika kuteua watu kimkakati.
 
Maafisa utumishi wa Tanzania wengi hawajua katiba wala sheria nje ya sheria za utumishi. Kwa hivi karibuni maswali mengi yamekuwa yakiibuka kuhusu uteuzi wa viongozi. Inaonekana wazi kwamba wanaopitisha majina kwenda kwa Mhe. Rais siyo wajuzi wa katiba wala sheria ni maafisa utumishi.
Kwa kesi gani ambazo wanasheria wetu huwa wanashinda!Kila tunapigwa kwenye idara ya sheria, hukutukiendelea kuwaita wanasheria wasomi!!! Nchiiii
 
Kwahiyo ifuatwe katiba au iangaliwe mikono ya mamlaka?
Nani afuate katiba? Wanaongozwa wafuate katiba lakini wanaotawala wanaweza kuamua kufuata au kutofuata kutegemeana na wakati, busara na mikakati.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu hapa nchini kwetu teuzi hazizingatii meritocracy. Ni full uchawa.

Usishangaye kuona Babalevo anateuliwa kuwa RC wa DSM
Ni aibu ya mwaka hadi Waziri moja.kasema haijalishi credentials bali bahati na wakati...Kisha ni mwanataaluna, hii nchi inatabu sana....Kuna mambo ukisikiliza Unajiuliza Mungu mbona sisi hatueleweki tunaenda mbele au nyuma?
 
Juzi nilisoma katika kumi bora ya wanaotumia Vudu tumo, Sasa Kwa namna hii ya uongozi kupatikana Kwa bahati si sote tutaishia Kwa fundi kusafisha nyota tupate vyeo?

Salahla!
 
Maafisa utumishi wa Tanzania wengi hawajua katiba wala sheria nje ya sheria za utumishi. Kwa hivi karibuni maswali mengi yamekuwa yakiibuka kuhusu uteuzi wa viongozi. Inaonekana wazi kwamba wanaopitisha majina kwenda kwa Mhe. Rais siyo wajuzi wa katiba wala sheria ni maafisa utumishi.

Nimeona mjadala wa uhalali wa solicitor General unaoendele katika mtandao wa X, sheria ilitaka awe amefanya kazi ya uwakili miaka kumi na tano ila yeye ameteuliwa akiwa na uzoefu usiofika miaka kumi. Nani alimshauri Rais amteue? Hao maafisa utumishi waliopitisha jalada lake kwa KM kiongozi walisoma sheria ?

Naamini ofisi ya KATIBU Mkuu Kiongozi ikiweka kitengo cha vetting chenye wajuzi wa sheria wapitie na kumshauri itasaidia sana kupata wafu wenye quality na wanapozingatia sheria.

Contrary kama uteuzi ulikuwa sahihi basi wanasheria wawe wepesi kuandaa majibu na kuondoa upotoshaji mitandaoni. Kukaa kimya kunafanya watu waamini hakuna ufuataji wa sheria wa mamlaka za uteuzi.
CS mwenyewe mbona anaonekana NTU wa dili!
 
Maafisa utumishi wa Tanzania wengi hawajua katiba wala sheria nje ya sheria za utumishi. Kwa hivi karibuni maswali mengi yamekuwa yakiibuka kuhusu uteuzi wa viongozi. Inaonekana wazi kwamba wanaopitisha majina kwenda kwa Mhe. Rais siyo wajuzi wa katiba wala sheria ni maafisa utumishi.

Nimeona mjadala wa uhalali wa solicitor General unaoendele katika mtandao wa X, sheria ilitaka awe amefanya kazi ya uwakili miaka kumi na tano ila yeye ameteuliwa akiwa na uzoefu usiofika miaka kumi. Nani alimshauri Rais amteue? Hao maafisa utumishi waliopitisha jalada lake kwa KM kiongozi walisoma sheria ?

Naamini ofisi ya KATIBU Mkuu Kiongozi ikiweka kitengo cha vetting chenye wajuzi wa sheria wapitie na kumshauri itasaidia sana kupata wafu wenye quality na wanapozingatia sheria.

Contrary kama uteuzi ulikuwa sahihi basi wanasheria wawe wepesi kuandaa majibu na kuondoa upotoshaji mitandaoni. Kukaa kimya kunafanya watu waamini hakuna ufuataji wa sheria wa mamlaka za uteuzi.
Nchi hii ukiwa mwana CCM tena kada tu basi utapata teuzi,Elimu sio muhimu sana.
 
Maafisa utumishi wa Tanzania wengi hawajua katiba wala sheria nje ya sheria za utumishi. Kwa hivi karibuni maswali mengi yamekuwa yakiibuka kuhusu uteuzi wa viongozi. Inaonekana wazi kwamba wanaopitisha majina kwenda kwa Mhe. Rais siyo wajuzi wa katiba wala sheria ni maafisa utumishi.

Nimeona mjadala wa uhalali wa solicitor General unaoendele katika mtandao wa X, sheria ilitaka awe amefanya kazi ya uwakili miaka kumi na tano ila yeye ameteuliwa akiwa na uzoefu usiofika miaka kumi. Nani alimshauri Rais amteue? Hao maafisa utumishi waliopitisha jalada lake kwa KM kiongozi walisoma sheria ?

Naamini ofisi ya KATIBU Mkuu Kiongozi ikiweka kitengo cha vetting chenye wajuzi wa sheria wapitie na kumshauri itasaidia sana kupata wafu wenye quality na wanapozingatia sheria.

Contrary kama uteuzi ulikuwa sahihi basi wanasheria wawe wepesi kuandaa majibu na kuondoa upotoshaji mitandaoni. Kukaa kimya kunafanya watu waamini hakuna ufuataji wa sheria wa mamlaka za uteuzi.
Kama ni wafu sawa
 
Back
Top Bottom