Upekuzi101
Senior Member
- Aug 28, 2020
- 134
- 348
Huwezi amini hili eneo linapokea na kulaza wageni zaidi ya 100 kila siku. Ngorongoro Simba camping site huu mlango una zaidi ya miezi mitatu bila kufanyiwa matengenezo baada ya kuharibiwa na tembo ila tangu uharibike haujawai kutengenezwa na wala hakuna kiongozi anayeona hili ni tatizo.
Pia Kuna suala hili la Choo. choo kimoja kinafanyiwa ukarabati Toka waanze huo ukarabati hadi sasa ni miezi miwili na bado kimefungwa kwa madai bado ukarabati unaendelea. Kiukweli kila mgeni analalamika kwani vyumba vya choo vinavyotumika ni viwili tu kwa wanaume na wanawake na Leo hapa Kuna wageni zaidi ya 120 hili ni tatizo kubwa mno kiukweli.
Mheshimiwa Mchengerwa angalia sana mamlaka ya Ngorongoro, watu wameshazoea kazi na madaraka kwaiyo hawana tena msukumo wa kazi so tafuta vijana wanaojitambua uwape kazi hapo Ngorongoro, hii ni aibu kubwa kwa wizara ya Mali Asili na utalii Tanzania.
Pia Kuna suala hili la Choo. choo kimoja kinafanyiwa ukarabati Toka waanze huo ukarabati hadi sasa ni miezi miwili na bado kimefungwa kwa madai bado ukarabati unaendelea. Kiukweli kila mgeni analalamika kwani vyumba vya choo vinavyotumika ni viwili tu kwa wanaume na wanawake na Leo hapa Kuna wageni zaidi ya 120 hili ni tatizo kubwa mno kiukweli.
Mheshimiwa Mchengerwa angalia sana mamlaka ya Ngorongoro, watu wameshazoea kazi na madaraka kwaiyo hawana tena msukumo wa kazi so tafuta vijana wanaojitambua uwape kazi hapo Ngorongoro, hii ni aibu kubwa kwa wizara ya Mali Asili na utalii Tanzania.