Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Ukiweka chuki binafsi pembeni, Mambosasa yupo sahihi kwa kiasi fulani, nini lengo la yule kijana kupost picha Facebook wakati kama kiongozi wa DARUSO alikuwa na nafasi ya kufikisha suala kwenye uongozi wa wanafunzi na kisha uongozi wa chuo? kimsingi lengo lake lilikuwa kuzua hofu na taharuki.
Ushari wangu ni kuwa afutiwe na mkopo kabisa. Zama hizi ni zama za JPM, watoto wa facebook lazima wadhibitiwe ili heshima irudi.
Ushari wangu ni kuwa afutiwe na mkopo kabisa. Zama hizi ni zama za JPM, watoto wa facebook lazima wadhibitiwe ili heshima irudi.