Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,834
- 8,924
.... Masanja, kumbuka kuna wanywa juice... si wote wanazimia ndovu na chang'aa, kuna ma- teetotal ati ...... lol
Mi ni mdau wa Kimpumu! tunadumisha mila wakati tunalinda bajeti at the same time! Ndovu labda moja ya kutoa harufu kama una miadi na wakubwa! Lol