Mambo ya uswazi!

Mambo ya niangusage mwenyewe....kule kwetu tanangozi hayo....(mchezo mchezo mpaka mambo yanakuwa mambo...mnaangushana..jamaa anawika...mamb yanajipa))
 
hapo mwanamke anainama kuipima mashine kwanza kuona kama inafanya kazi, jamaa kishavua shati zamani za musa.
 
Ni michezo baada ya shibe, kawaida wa dada hupenda kukamata "vitendea kazi" vya wanaume kwenye matimbwili. Na ukiangalia mikono ya mdada imeshika kiuno cha jamaa .........., badala ya ku-mtait hapo "ikulu"
ha ha ha... Umeona eeh!
 

Hamna ugomvi hapo! tuulize sisi wauswazi; hizo kandambili, bukta, kanga, ngumi imeanzia mbaaaali, akinakuruthum hawapo mzee anachabo tu.... mmh, hamna kitu hapo.

Kandambili, kanga, bukta visingekuwa katika hali hiyo. ngumi ya ugonvi haianzii huko. akina kuruthumu na kidawa siwaoni, huyo mzee angekuwa tayari anaamua ugomvi huku akimpapasa mama wa watu ....... inatosha :car:
 
Aah, humu c kuna siku jamaa aliuliza namna watu wanavyoomba ile maneno kimakabila, sasa hii pia ni mojawapo. Huoni wote washa OGA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom