Mambo ya ndoa: Je, ni kweli wanawake walio kwenye ndoa wanaongea sana kuliko wanaume???

Watu wazima wawili "wanapozungumza" ni vizuri kupeana nafasi ya kila mtu atie neno japo kwa dakika chache inaposhindikana basi mmoja huona mazungumzo yale yamekuwa ya upande mmoja na hivyo kupoteza maana

Nakubaliana na wewe BAK,

Ila ni mara kibao, ukijaribu kuwa msikilizaji unaambiwa hautoi attention kwa anayosema au haumsikilizi....!!

Halafu ikitokea akaongea vitu usivyovutiwa navyo ukakaushia, kesi yake usipime. Na wakati huo huo wewe ukiongea vitu ambavyo havipendi unaweza ama kushushuliwa au mtu akaanza kufanya mambo yake mengine kama vile hayupo au hayko pamoja na wewe...Unaishia kusahangaa wewe umekomaa kupiga story, ila yeye anacheza game kwenye simu!!

Kazi kweli kweli!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna wanaume pia huongea kuliko wanawake..

Ni kweli Mayasa,


Ila hapa tunaongea kwa kutumia vipimo vya population badala ya mtu binafsi. Ndiyo maana utasikia mtu anasema, on average, women talk more than men!!

Hii haina maana kwamba hakuna wanaume wanaoongea sana..Wapo kibao na wengine wameshatajwa, mfano watangazaji na MCs!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna wanaume pia huongea kuliko wanawake..

Ni kweli Mayasa,


Ila hapa tunaongea kwa kutumia vipimo vya population badala ya mtu binafsi. Ndiyo maana utasikia mtu anasema, on average, women talk more than men!!

Hii haina maana kwamba hakuna wanaume wanaoongea sana..Wapo kibao na wengine wameshatajwa, mfano watangazaji na MCs!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hapo njemba ndiyo huamua kusepa. Ukisepa utaambiwa unadharau mazungumzo yale....hujali.

Nakubaliana na wewe BAK,

Ila ni mara kibao, ukijaribu kuwa msikilizaji unaambiwa hautoi attention kwa anayosema au haumsikilizi....!!

Halafu ikitokea akaongea vitu usivyovutiwa navyo ukakaushia, kesi yake usipime. Na wakati huo huo wewe ukiongea vitu ambavyo havipendi unaweza ama kushushuliwa au mtu akaanza kufanya mambo yake mengine kama vile hayupo au hayko pamoja na wewe...Unaishia kusahangaa wewe umekomaa kupiga story, ila yeye anacheza game kwenye simu!!

Kazi kweli kweli!!

Babu DC!!
 
.....swahiba Dark City, ....tunausiwa tuishi nao hawa kwa "akili!" ....akili mojawapo ni hiyo ya kustahmilia hizo constant naggings & whingeing, kwani kulalama ndio majaaliwa yao hawa.

....na wala usidhani twaweza jibizana nao hawa viumbe 'wa kike'...utakuwa sawa na kupanda mbegu za bhangi kwa matarajio ya kuvuna mchicha.

" A hot tempered man stirs up dissension, but a patient man calms a querrel"....-proverb 15:18

Katika maneno yao 100, sikiliza 10%, tena yale yanayounga unga sentensi....mengineyo weye tingisha kichwa tu kama unajali saaana....

Umenena swahiba Mbu,

Ila umesahau kwamba siyo kutingish kichwa tu, bali unatakiwa hata usipige ukome...Usiteme wals kumung'unya ili usionekani hujali hisia zake!!

Kwa kweli hadi kustaafu, kazi tumeifanya vya kutosha!!

Babu DC!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mimi siwezi kuwaongelea wanawake wengine lakini mimi si muongeaji but as jinsi kwa wanawake inavyosemwa kuwa kuongea ni defensive mechanism na wanaume kiburi chao cha kutoongea ni the same it doesn't mean wana busara

Naunga mkono hii, kwa kweli kunyamaza kuna maana nyingi inawezekana ni dharau kwa unaye kuongelesha.
 
mwanaume wa ukweli analijua hilo, na anajua kuwa mkewe anahitaji attention hivyo akirudi home humpa yooote na kusikiliza anayoelezwa na mkewe hata kama mke anaongea kama kameza cassete.... Na si kukimbilia bar....
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,

Kumbe wewe Elizabeth Dominic ulidhani mie ni Liva??

Mie ni mshabiki tu ninayetafuta Burudani...Ingawa niwe mkweli kwamba hata siku moja sijawahi kuwapenda hao jamaa zako!!

Wewe leo umeongea maneno mangapi na kwa nini?


Babu DC!!

Back to the topic Babu Dark City............mimi sina maneno kwanza naongea hadi nijifikirishe sana, saa zingine hadi naamua nile bigijii kuchangamsha mdomo......lol
 
Last edited by a moderator:
Back to the topic Babu Dark City............mimi sina maneno kwanza naongea hadi nijifikirishe sana, saa zingine hadi naamua nile bigijii kuchangamsha mdomo......lol


Poa Elizabeth Dominic,

Naamini ukimywa wako hautakupa taabu kiasi cha kukutana na haya.... CLICK HERE

Au hapa,

angry-woman.jpg


Babu DC!!
 
At least hii...kwa wale tuliopitia mafunzo ya awali ya kukabiliana na mikiki mikiki, hili tunaweza kwenda pamoja!!

Hapa utumbo ulibaki nyumbani kwao?

Babu DC!!

Nilikuwa natishia tu ubavu huo sina.............mimi kwangu kwasababu sina maneno maneno uwaga naishia kulia...........................halafu mi nadhani kimya chenu wanaume ni kiburi tu na kushindwa ku face the music na wala si kipimo cha busara
 
Nilikuwa natishia tu ubavu huo sina.............mimi kwangu kwasababu sina maneno maneno uwaga naishia kulia...........................halafu mi nadhani kimya chenu wanaume ni kiburi tu na kushindwa ku face the music na wala si kipimo cha busara

Sidhani kama ni kiburi ndugu yangu Elizabeth Dominic,

Kama ingekuwa kiburi, basi ingekuwa tabia ya wanaume wachache. Kama ambavyo tunaonekana kukubaliana kwamba wanawake wengi ni waongeaji sana, basi pia tunaweza kukubaliana kuwa wanaume si waongeaji sana bila kuwabandika cheo kingine kwamba wanakaa kimya kwa sababu ya kiburi au jeuri ya uanaume!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
pamoja na wanawake kuongea sana hatuachi kuwapenda mara nyingine tunapigania na kugongana kwa huyohuyo msema sana. maisha yanasonga mbele
 
Sidhani kama ni kiburi ndugu yangu Elizabeth Dominic,

Kama ingekuwa kiburi, basi ingekuwa tabia ya wanaume wachache. Kama ambavyo tunaonekana kukubaliana kwamba wanawake wengi ni waongeaji sana, basi pia tunaweza kukubaliana kuwa wanaume si waongeaji sana bila kuwabandika cheo kingine kwamba wanakaa kimya kwa sababu ya kiburi au jeuri ya uanaume!

Babu DC!!

Sababu gani zinawafanya waongee sana? Mi naona wanaume ndio uwafanya wanawake wabwatuke halafu mambo yakipamba moto wanapiga kimya as a defensive mechanism au kama ulivyosema wanakimbia majumbani kwao.....je huu si aina ya udhaifu kama ulivyo udhaifu/mapungufu ya kibailojia yaliyodaiwa wanawake wanayo which you said wanacompansate kwa kubwata sana
 
pamoja na wanawake kuongea sana hatuachi kuwapenda mara nyingine tunapigania na kugongana kwa huyohuyo msema sana. maisha yanasonga mbele

Sidhani kama kuongea sana ni trait mbaya kiasi kwamba wanawake wanaoongea sana wasipendwe au wawe selected against!

Halafu siyo kwamba wanaume hawaongei, ila comparatively inasemekana wanawake wanaongea zaidi ya wanaume!

Babu DC!!
 
Sababu gani zinawafanya waongee sana? Mi naona wanaume ndio uwafanya wanawake wabwatuke halafu mambo yakipamba moto wanapiga kimya as a defensive mechanism au kama ulivyosema wanakimbia majumbani kwao.....je huu si aina ya udhaifu kama ulivyo udhaifu/mapungufu ya kibailojia yaliyodaiwa wanawake wanayo which you said wanacompansate kwa kubwata sana

Hizo sababu ndiyo sasa tunaweza kupeana uzoefu au ujuzi,

Mie nadhani inatokana na tabia ya wanawake ambayo mara nyingi huwafanye wapende kushinda kila argument na waume zao....

Lakini pia wanaume wanaweza kuwa wamejikuta wanajenga tabia ya kukaa kimywa kwa sababu kitendo cha mwanamume kumshinda mke wake kwa hoja ndani ya house mara nyingine huwa costly.....

Mtu anaweza kulambwa mvua kama 14 hivi (2 wks) bila dinner!!

Achana na wanawake waliozaliwa kipindi cha Beijing au baada ya hapo!!


Babu DC!!
 
Hizo sababu ndiyo sasa tunaweza kupeana uzoefu au ujuzi,

Mie nadhani inatokana na tabia ya wanawake ambayo mara nyingi huwafanye wapende kushinda kila argument na waume zao....

Lakini pia wanaume wanaweza kuwa wamejikuta wanajenga tabia ya kukaa kimywa kwa sababu kitendo cha mwanamume kumshinda mke wake kwa hoja ndani ya house mara nyingine huwa costly.....

Mtu anaweza kulambwa mvua kama 14 hivi (2 wks) bila dinner!!

Achana na wanawake waliozaliwa kipindi cha Beijing au baada ya hapo!!


Babu DC!!

Sijaoa lakini naiona hiyo red kwa jicho tofauti.kwamba ktendo cha mwanaume kukaa kimya ni kwa sababu ya hofu ya kushindwa hoja iwapo hoja iliyopo mezani inamuelemea ama kuepusha sokomoko zaidi
 
Umeanza ukorofi lini hapo blue??

Kuna ka ukweli kwa mbaaaaali, kwa kweli kuna watu miziki yao migumu sana kuicheza
Inabidi kuna wakati unywe panado ili uonekane unaumwa maana:tape2:

Kongosho,

Nakubaliana na wewe hapo kwenye blue. Ndiyo maana muziki wa baadhi ya wanaume unakuwa mkubwa kiasi cha wadau wao kuweka mpira kwapani...

Hii inaturudisha kwenye hoja kwamba, biologically mwanamke mmoja hawezi kumtosha mwanamume...kama ambavyo hatuweshi kushinda na wanawake katika maongezi!

Babu DC!!
 
Hao wanaume wanaoa wanawake kabla ya kuwajua? Au ni kuwachoka tu, kwamba maongezi yaleyale yaliyoonekana mororo wakati wa uchumba yanaonekana yanachosha baada ya miaka michache ya kukaa pamoja?
 
Back
Top Bottom