Mambo ya ndoa: Je, ni kweli wanawake walio kwenye ndoa wanaongea sana kuliko wanaume???

Dark City

JF-Expert Member
Oct 18, 2008
16,253
11,599
Wakati napiga story na wajukuu na kumalizia week end (ukiachana na refa mpuuzi ambaye kaharibu uhondo wa Liva kwa Man U), nimekutana na story kwenye Gazeti la Tanzania Daima ambayo nimeonelea niilete hapa ili wadau watoe maoni yao.

Katika kona ya "Maneno ya Ma'Mdogo" uk 19, mwandishi ameandika makala yenye kicha kinachosema kuwa "Kelele za wanawake huwafukuza waume". Amejaribu kujenga hoja kuwa baadhi ya wanaume wanalazimika kutumia muda mwingi nje ya familia zao ili kukwepa kelele za wake zao. Ametumia ushuhuda wa msomaji wake mmoja ambaye anadai kuwa hawezi kukaa nyumbani muda mrefu kwa sababu mke wake anampakia maneno mengi anayosema kuwa "hayana maana". Mwanamume huyo anadai kuwa anakosa muda wa kukaa na watoto wake na amebaki kwenye ndoa kwa sababu anampenda mke na watoto wake!

Mwandishi amezidi kuwandika kwamba, "Wataalamu wanasema kuwa maumbile ya mwanamke yanamfanya kujihisi kuwa mnyonge na hivyo kutumia maneno kama silaha yake. Kwa siku mwanamke anazungumza zaidi ya mara 7000 wakati mwanamume huzungumza chini ya nusu ya kiwango hicho (isipokuwa watangazaji)".

Kwa hiyo, mwandishi anataka kutuaminisha kuwa wanawake wanatumia silaha ya maneno/kuongea ili kufidia (to compensate) baadhi ya mapungufu ambayo wanajihisi wanayo (biologically). Je, hii ni kweli?

Naomba michango yenu ili tupeane uzoefu!

Babu DC!!

Updates:

Nimepitia kwenye mtandao na kukutana na hii kitu....Someni wenyewe!


Women talk three times as much as men, says study
By FIONA MACRAE
Last updated at 13:39 28 November 2006

Women talk almost three times as much as men, according to the research.
It is something one half of the population has long suspected - and the other half always vocally denied. Women really do talk more than men. In fact, women talk almost three times as much as men, with the average woman chalking up 20,000 words in a day - 13,000 more than the average man. Women also speak more quickly, devote more brainpower to chit-chat - and actually get a buzz out of hearing their own voices, a new book suggests.

The book - written by a female psychiatrist - says that inherent differences between the male and female brain explain why women are naturally more talkative than men. In The Female Mind, Dr Luan Brizendine says women devote more brain cells to talking than men. And, if that wasn't enough, the simple act of talking triggers a flood of brain chemicals which give women a rush similar to that felt by heroin addicts when they get a high.

Dr Brizendine, a self-proclaimed feminist, says the differences can be traced back to the womb, where the sex hormone testosterone moulds the developing male brain. The areas responsible for communication, emotion and memory are all pared back the unborn baby boy. The result is that boys - and men - chat less than their female counterparts and struggle to express their emotions to the same extent.

"Women have an eight-lane superhighway for processing emotion, while men have a small country road," said Dr Brizendine, who runs a female "mood and hormone" clinic in San Francisco.
There are, however, advantages to being the strong, silent type. Dr Brizendine explains that testosterone also reduces the size of the section of the brain involved in hearing - allowing men to become "deaf" to the most logical of arguments put forward by their wives and girlfriends.
But what the male brain may lack in converstation and emotion, they more than make up with in their ability to think about sex.

Dr Brizendine says the brain's "sex processor" - the areas responsible for sexual thoughts - is twice as big as in men than in women, perhaps explaining why men are stereotyped as having sex on the mind.
Or, to put it another way, men have an international airport for dealing with thoughts about sex, "where women have an airfield nearby that lands small and private planes".

Studies have shown that while a man will think about sex every 52 seconds, the subject tends to cross women's minds just once a day, the University of California psychiatrist says.
Dr Brizendine, whose book is based on her own clinical work and analyses of more than 1,000 scientific studies, added: "There is no unisex brain."Girls arrive already wired as girls, and boys arrive already wired as boys. Their brains are different by the time they're born, and their brains are what drive their impulses, values and their very reality. "I know it is not politically correct to say this but I've been torn for years between my politics and what science is telling us."I believe women actually perceive the world differently from men.

"If women attend to those differences they can make better decisions about how to manage their lives."
Other scientists, however, are skeptical about the effects of testosterone on the brain and say many of the differences between the male and female personality can be explained by social conditioning, with a child's upbringing greatly influencing their character.
Deborah Cameron, an Oxford University linguistics professor with a special interest in language and gender, said the amount we talk is influenced by who we are with and what we are doing.
She added: "If you aggregate a large number of studies you will find there is little difference between the amount men and women talk."

Source: CLICK HERE
 
Wakati napiga story na wajukuu na kumalizia week end (ukiachana na refa mpuuzi ambaye kaharibu uhondo wa Liva kwa Man U), nimekutana na story kwenye Gazeti la Tanzania Daima ambayo nimeonelea niilete hapa ili wadau watoe maoni yao.

Katika kona ya "Maneno ya Ma'Mdogo" uk 19, mwandishi ameandika makala yenye kicha kinachosema kuwa "Kelele za wanawake huwafukuza waume". Amejaribu kujenga hoja kuwa baadhi ya wanaume wanalazima kutumia muda mwingi nje ya familia zao ili kukwepa kelele za wake zao. Ametumia ushuhuda wa msomaji wake mmoja ambaye anadai kuwa hawezi kukaa nyumbani muda mrefu kwa sababu mke wake anampakia maneno mengi anayosema kuwa "hayana maana". Mwanamume huyo anadai kuwa anakosa muda wa kukaa na watoto wake na amebaki kwenye ndoa kwa sababu anampenda mke na watoto wake!

Mwandishi amezidi kuwandika kwamba, "Wataalamu wanasema kuwa maumbile ya mwanamke yanamfanya kujihisi kuwa mnyonge na hivyo kutumia maneno kama silaha yake. Kwa siku mwanamke anazungumza zaidi ya mara 7000 wakati mwanamume huzungumza chini ya nusu ya kiwango hicho (isipokuwa watangazaji)".

Kwa hiyo, mwandishi anataka kutuaminisha kuwa wanawake wanatumia silaha ya maneno/kuongea ili kufidia (to compensate) baadhi ya mapungufu ambayo wanajihisi wanayo (biologically). Je, hii ni kweli?

Naomba michango yenu ili tupeane uzoefu!

Babu DC!!

Mapungufu gani hayo ambayo "wanajihisi" wanayo?
hapo kwenye red inahu?
 
haijalishi ni kweli au si kweli, what i want is more important than anything else..

for me mwanamke mwene makelele hata K yake siigusi na ntampata talaka cku ioio.
Karaha zote za nini?
 
Mwaka huu natoka kivingine sasa, mimi ni Yanga ya akina Mbuyu Twite huku kwetu Tanzania na kule England ni Liverpool yaani natamani kocha Rogerz hata leo aondoke kama alivoondoka wa Yanga. Na pia jamani hawa walioinunua Liverpool nao ni wamarekani makapuku nini kwa nini wasilete wachezaji wa maana.Sasa ina maana gani kwa timu kuuzwa kwa mwekezaji halafu bado tukawa na kikosi kilekile, shenz. kabisa Liverpool mwaka huu ni kila weekend mnanitibulia siku.Asante kwa mada mheshimiwa Dark City na samahani kwa kujadili tu mambo ya Liver na refa wa kuhongwa
 
pole na kichapo mkuu...

Ahsante sana Scofied.

Mie siyo Liva ila nimepoteza muda wangu nikitegemea kuona kandanda la uhakika nikaishia kukerwa!

Anyway, nimeona hata mashabiki wa Man U wakikiri kuwa Football politics imefanya kazi yake!!

Haya sasa tueleze,...Wewe unaongea sana au kidogo?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mi sijaolewa, so ngoja nijipitie. Ila mwanaume akikukosea anakuwa amexpect UTAONGEA SANAAA au UTANUNA!!! LOLEST!! Ila siku hizi dawa yao mpya ni moja, akikosea NO KUONGEA, NO KUNUNA, NI MDA WA KUDEMAND VITU VYOTE ANAVOKUKATALIAGA @ kuwaleta nduguzo kutoka kijijini hapo maskani. Hapo ukiomba japo hataki, ila anujua akigoma utafunguka, so unajipatia kiulainiii! Kosa likishatokea haina haja RAP ila uangalie jinsi gani kosa litakunufaisha, nae akikujua hio tabia yako HAKOSEI HOVYOO. ILAUKIJA KUKOSEA WEWE JIANDAE
 
Mi siko kwenye ndoa, lakini najaribu kufikiria kwamba hao wanawake wanaopiga makelele kwa waume zao WANA SABABU za msingi.. Wao sio vichaa mpaka waanze kubwatuka bwatuka hovyo...!
 
Slide5.JPG
 
mkuu ulichokisema ni kweli bana..wanawake wanaongea sana kama defencive mechanism ila dawa yao ni kuishi kama hujawasikia vile huwa wanalainika kama wamedondokewa mlenda..........
 
I'm probably the least qualified to speak here lakini mtazamo wangu, wanawake ni rahisi kugundua makosa madogo na kuyaongelea non-stop. ukimkosea mkeo hata kama ni kosa dogo ataliongelea hata kwa miezi ijayo wakati wewe umesahau tofauti na sisi. it's part of their nature i guess. wana tendency ya kuyakuza mambo kupita kiasi, wakati wanaume hupendelea kukaa kimya au kupunguza maudhi madogomadogo kwa sports/beer etc.
 
Mie kwa maoni yangu sidhani kama ni kwenye ndoa tu bali hata kwenye mahusiano ya kawaida. Wenzetu wana kipaji cha kuongea ukilinganisha na Wanaume. Wanaume wengi hawapendi kuongea. Babu DC usiniulize lini nimefanya research ni maoni yangu binafsi haya ambayo yanaweza kabisa kuwa hayako accurate.

 
Last edited by a moderator:
You are growing so fast, am so proud of you!

I'm probably the least qualified to speak here lakini mtazamo wangu, wanawake ni rahisi kugundua makosa madogo na kuyaongelea non-stop. ukimkosea mkeo hata kama ni kosa dogo ataliongelea hata kwa miezi ijayo wakati wewe umesahau tofauti na sisi. it's part of their nature i guess. wana tendency ya kuyakuza mambo kupita kiasi, wakati wanaume hupendelea kukaa kimya au kupunguza maudhi madogomadogo kwa sports/beer etc.
 
sababu ni nyingi sana zinazowafanya waongee kulingana na walivyo.
'gossip' na 'talking' gland ni kubwa.

Hushangai na wanamme nao 'ngono' gland ni reletively kubwa ukilinganisha na a wanawake.

Note: poleni wale wa bwawa la maini, point 2 kati ya mechi 5?
 
Back
Top Bottom