Mambo ya kufahamu ili uwe bora kwenye Mobile Software

May 11, 2020
9
14
Habari za muda huu ndugu zangu!

Baada ya kuona uhitaji wa watu kutaka kufaham kuhusu mobile software bhas kupitia uzi huu ntaenda kuwafahamisha kuhusu mobile software.
Kwanza kabisa ni lazima uwe na vitu vifuatavyo ili uweze kufanya hii kazi.

1.Desktop au Laptop
2.Internet
3.Flashing tools (Drivers, Roms)
4.USB cable

Ukiwa na vifaa tajwa hapo juu unaweza kabisa anza fanya kazi ya kuwa fundi mobile software ila sio rahis sana inabid upate somo litakalo kuwezesha kupata maarifa ya jinsi ya kutumia hizo flashing tools kulingana na aina ya simu unayoifanyia service.

Kwa maswali na maoni kuhusu mobile software karibuni.

Pia tunaweza wasiliana WhatsApp 0718968027 elitesoftware
PART TWO
Ili kuweza kuffanya operation ya kuflash sim ni lazima uweze kutambua ni chipset ya aina gani. Kuhusu maana ya chipset pamoja na mada nzima na maelezo ya chipset nitakuja kuandaa uzi wake maalum kwa leo naomba tutambue baazi ya chipset za sim mbalimbali
1. Qualcom
2. Exynos
3. Mediatek (mt)
4. Kirin
5. Spreadtrum
Na zinginezo mfano iphone wana series ya chipset zao. Hivyo kabla ya kuflash ni lazima ujue sim inatumia chipset ya aina gani ili uweze kutumia tool sahihi japokua tools zinakua zina combine chipset so kwa uwelewa wa maswala ya mobile software unaweza nicheck 0718968027
 

Attachments

  • 42D97A52-C5C0-46EB-A5FA-3CB0F5715612.png
    42D97A52-C5C0-46EB-A5FA-3CB0F5715612.png
    30.3 KB · Views: 9
Flashing tools (Drivers, Roms) ROMS hapa unamahanisha Nini??.
Una huakika kuwa hivi ulivyotaja mtu akiwa navyo anakuwa mbobezi katika kuflash simu?

Nashauri yeyote anaetaka kujua kuflash au kuripea simu aende Veta au DIT maana Kama una cheti toka ktk moja wapo ,Siku zijazo utoruhusiwa tengeneza/kuflash simu na TCRA. Wewe mwenyewe inaonekana unaunga unga tu .ujui kitu.

Simu za Samsung,Nokia,Huawei,Tecno,....n.k bila dongles uwezi flash au kureprogram,IMEI writing na kutoa locks.
 
nisaidie kwenye site gani naweza pata firmware/ flash file mbali mbali? nimedownload kwenye flani lakini zimekatataa kwenye it 5020
 

Flashing tools (Drivers, Roms) ROMS hapa unamahanisha Nini??.
Una huakika kuwa hivi ulivyotaja mtu akiwa navyo anakuwa mbobezi katika kuflash simu???
Nashauri yeyote anaetaka kujua kuflash au kuripea simu aende Veta au DIT maana Kama una cheti toka ktk moja wapo ,Siku zijazo utoruhusiwa tengeneza/kuflash simu na TCRA. Wewe mwenyewe inaonekana unaunga unga tu .ujui kitu...
Simu za Samsung,Nokia,Huawei,Tecno,....n.k bila dongles uwezi flash au kureprogram,IMEI writing na kutoa locks ..
hivi mkuu hawa VETA au DIT wana course zinazohusu mobile repair online? Au hadi mtu aende chuoni?
 
Chipukizi bro so ukiwa na cheti ndio unaanza flash sim au unaandaa vifaa then ndio unafanya usajili nilichosema huwezi fanya kazi bila ya kua na vifaa tajwa hapo juu bro uewelewa mdogo tuu
 
Chipukizi bro so ukiwa na cheti ndio unaanza flash sim au unaandaa vifaa then ndio unafanya usajili nilichosema huwezi fanya kazi bila ya kua na vifaa tajwa hapo juu bro uewelewa mdogo tuu
Ni hivi ushauri wangu ni kuwa mwende mkajifunze kwenye shule husika VETA na DIT muache ukanjanja kwani TCRA muda sio mrefu .itaondoa mafundi wasio na taharuma ya ufundi mitaani kote nchini.
 
Chipukizi bro so ukiwa na cheti ndio unaanza flash sim au unaandaa vifaa then ndio unafanya usajili nilichosema huwezi fanya kazi bila ya kua na vifaa tajwa hapo juu bro uewelewa mdogo tuu
Ni hivi ushauri wangu ni kuwa mwende mkajifunze kwenye shule husika VETA na DIT muache ukanjanja kwani TCRA muda sio mrefu .itaondoa mafundi wasio na taharuma ya ufundi mitaani kote nchini.
 
Chipukizi bro so ukiwa na cheti ndio unaanza flash sim au unaandaa vifaa then ndio unafanya usajili nilichosema huwezi fanya kazi bila ya kua na vifaa tajwa hapo juu bro uewelewa mdogo tuu
Ni hivi ushauri wangu ni kuwa mwende mkajifunze kwenye shule husika VETA na DIT muache ukanjanja kwani TCRA muda sio mrefu .itaondoa mafundi wasio na taharuma ya ufundi mitaani kote nchini.
 
Flashing tools (Drivers, Roms) ROMS hapa unamahanisha Nini??.
Una huakika kuwa hivi ulivyotaja mtu akiwa navyo anakuwa mbobezi katika kuflash simu???
Nashauri yeyote anaetaka kujua kuflash au kuripea simu aende Veta au DIT maana Kama una cheti toka ktk moja wapo ,Siku zijazo utoruhusiwa tengeneza/kuflash simu na TCRA. Wewe mwenyewe inaonekana unaunga unga tu .ujui kitu...
Simu za Samsung,Nokia,Huawei,Tecno,....n.k bila dongles uwezi flash au kureprogram,IMEI writing na kutoa locks ..
Veta,dit sijui Tid ya nini kuna dogo hapa kwetu la 7 anakuflaahia simu zote ila wewe ndio uende hio dit yako wengeni huku wanafanyia ujuzi sio cheti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa wazungu walioweka mashule ni wajinga.wewe na huyo was std 7 ni maprofesa

Maswala yako ya DIT usituletee kwenye huu uzi, wewe unafikiri huko DIT walimu wanatoka india? huko DIT wakiweza kufundisha namna ya kuondoa apple id kwenye iPhone nitaenda kwa mbio zote.
Watu tunauzoefu wa kazi miaka na miaka leo hii unambie niende DIT ukanifundishe nini cha ziada? Au kipi kigeni?
 
Back
Top Bottom