nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
kama vipi nenda na shuka yako tandika juu ya ile ya gesti:loco:
kwa nini usitumie guest house ambazo zina self contained rooms. ukimaliza unazi-flash chooni. hizoguest house za uchochoroni hukawii kufungiwa kamera chumbani ukawa hujui kama umeshakuwa porno star, watu wanaangalia clip zako kila kona ya mtaa.
Afadhali wawaloge, tena wangeziloga zikakatika m-soo-soo mmechuchumaa ili mjifunze kujisitiri na ukahaba! Yaani mie huwa sipati picha kufanya kazi guest, mashuka ningefua na gloves hadi kutandika kitanda pia!
Habar wandugu, nimepata taarifa eti wahudum wa nyumba za wagen huwa wanachukua shahawa wanazokuta mara baada ya wateja kutoka na kufanyia mambo inayosababisha mwanaume kushindwa kusimamisha uume je ni kuna ukwel kuhusu hilo swala asanteni
kama vipi nenda na shuka yako tandika juu ya ile ya gesti:loco:
Habar wandugu, nimepata taarifa eti wahudum wa nyumba za wagen huwa wanachukua shahawa wanazokuta mara baada ya wateja kutoka na kufanyia mambo inayosababisha mwanaume kushindwa kusimamisha uume je ni kuna ukwel kuhusu hilo swala asanteni
Habar wandugu, nimepata taarifa eti wahudum wa nyumba za wagen huwa wanachukua shahawa wanazokuta mara baada ya wateja kutoka na kufanyia mambo inayosababisha mwanaume kushindwa kusimamisha uume je ni kuna ukwel kuhusu hilo swala asanteni
Vipi?? Washakutenda? Ni kweli kabisa.
Mie walichukua mate yangu, saa hivi ulimi hauyumbi yumbi tena, upo kama chatu aliyemeza mbuzi.
Hamna kitu kama hicho..
Duh. Hii mpya.
Sijawahi sikia kabla. Ndo naisoma hapa leo.
Mnakula mivyakula ya mafuta na mijuke food matokeo yake mnashindwa kusimamisha Mashine vizuri na kuwa na ufanisi unaanza kusingizia wafanyakazi wa Guest!!
Anza kula ugaali wa dona samaki wakavu, wabichi, mboga za majani, na asali ya nyuki wakali wakali na usisahau mazoezi huone kama kuna mtoto wa kike atakusema vibaya.
Hiyo mikuku yenu iliyooza mnayokula steers inaitwaje? au vyakula vyenu vijana mnaita lunch box kuna nutrition gani mule za kusimamisha mashine?Mkuu Matola msaada kwenye tuta.
Hapo kwenye bold ndo mboga gani hiyo
hlogeni kwangu bt ngoja niwasikilize wakuuHabar wandugu, nimepata taarifa eti wahudum wa nyumba za wagen huwa wanachukua shahawa wanazokuta mara baada ya wateja kutoka na kufanyia mambo inayosababisha mwanaume kushindwa kusimamisha uume je ni kuna ukwel kuhusu hilo swala asanteni
uuuuwiii!!!! we kijana upo!!??Aisee Belinda unanikosha ww na lipz hizo.... yani kila thread nayokuta umechangia napata mental destruction.