Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Kitu nisichokipenda kutoka kwao ni kwamba Wana chuki sana na watu wasioamini ktk dini yao, wanajiona wao pekee ndio wanastahili kuishi kwenye Dunia hii ni ujinga kwa kweli.
Ukisoma katika historia Empire za Kiislamu ziliishi na Jamii za dini nyingine kwa amani ,hayo unayoandika ni mambo ya watu aa baadhi ya makundi yanayojinasibisha na uislamu.
 
Mwenyewe mi mkristo piwa kabisa ila Kuna mambo Wanawake wa kiislam wananifurahisha.Kwanza ni wasafi wananukia na wanajua kupika,acha tu.Ila upande wetu unga unga mwana
 
Ngoja wvaa kobzi wakusikie wakusomee takbiri
Tena hao wavaa magunia ndiyo inabidi wakamatwe na kuwekwa ndani kwani ni hao ndiyo wanawafundisha wanetu kuwa wajinga. Utamlazimishaje mtu afuate msingi ya dini (imani na mila) za watu wengine wakati hapa Tanzania tuna mila zetu? Viongozi wa dini ndiyo wanafanya taifa letu kuwa na wananchi wajinga.
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Kwanza tumjue huyo Mtume kwa sura. Sasa hawa wadau wanamfuataje mtu hawamjui? Zingatia... Mtu! Nasikia pia aling'olewa meno na watesi

Mengine yanaongeleka, ila yana mapungufu pia
 
Bro vitu na imani dhaifu sikuzote hutetewa kwa nguvu...
Unadhani wakristo wangekua na fikra dhaifu tungeishi hii dunia kwa amani..?
Uhai amani na uzuri wa hii dunia ni kwasabab wakristo ni hodari na mahiri ktk kilakitu...
 
Asante
Lakini mimi hakuna kitu chochote kinachonivutia kwenye ugalatia, kwa kweli hakuna
Zaidi nachukia ufisi na uoga uliopandikizwa kwenye hiyo imani.
Hata ukiangalia hawa panya road huwa wanawatesa wa huko kimara sijui kawe na mbezi, hutasikia panya road wilaya ya Temeke au Mtoni
Chema chajiuza kibaya chajitangaza.Kwa nini usiwahubirie watu kumfuata Mungu wako bila kukashifu imani za wengine?Hakuna kinachokuvutia kwenye ugalatia ni sawa na ni haki yao.Unaamini wagalatia wana kinachowavutia kwenye uislam?
 
Niliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..
Mfano, Bahati anataka kusilimu, kwanini sasa aitwe Abdul badala ya kubaki na Bahati lake.. Je kuna shida na Majina yasiyo ya kiarabu?

Naomba jibu kama unajua.

Hakuna ulazima ni mazoea tu, kwa hio ni suala la hiari.
 
Ooh.. okay.. Kuna sheikh aliniambia haiwezekani uwe muislamu asiye na jina la kiislamu.. sikuridhishwa na hilo jibu.

sio kila shehe ni shehe, wengi ni ma ustadh wa chuoni nao pia huitwa mashehe mittani. Hakuna Jina la kiislmau, ila uislamu umesisitiza watu wawe na majina mazuri kwa maana kimaana nahata kimatamshi pia.
 
Kuna waislam wanafanya mema kila siku na kuna wanaofanya mema mpaka mwezi wa ramadhani na hii ni ruka ya binaadam kuzongwa na ibilisi na sio sifa ya muislam ni kujisahau kwa mwanadamu hyo wala sio hoja labda ubishani saw saw na papa kuruhusu ndoa za jinsia moja kwani ni wakristo wote mnapenda hvo ni yeye papa matakwa yake sio yeye ni kuna muislam tu na muislam mshika dini hukuti muislam mshika dini yeye anamkumbuka Mungu Mweza mtukufu tu sio jambo la kweli yule anayeshika dini anamkumbuka Mungu kila siku na kutoa elimu kwa wengine wawe kama yeye
Kwa nnaowaona kwenye jamii yangu ndivyo wanavyoishi tena kwa wingi.
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Haya yote yapo kwenye ukristo
Ila hayapo kwenye madhehebu.
 
Back
Top Bottom