Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,636
- 3,678
Msikiti gani ukienda kusilimu unapata pesa za kutosha?Na wanakupa ma hela ya kutosha hii itategemea umeenda kusilimu Msikiti Gani.
Msikiti gani ukienda kusilimu unapata pesa za kutosha?Na wanakupa ma hela ya kutosha hii itategemea umeenda kusilimu Msikiti Gani.
Ukisoma katika historia Empire za Kiislamu ziliishi na Jamii za dini nyingine kwa amani ,hayo unayoandika ni mambo ya watu aa baadhi ya makundi yanayojinasibisha na uislamu.Kitu nisichokipenda kutoka kwao ni kwamba Wana chuki sana na watu wasioamini ktk dini yao, wanajiona wao pekee ndio wanastahili kuishi kwenye Dunia hii ni ujinga kwa kweli.
Tena hao wavaa magunia ndiyo inabidi wakamatwe na kuwekwa ndani kwani ni hao ndiyo wanawafundisha wanetu kuwa wajinga. Utamlazimishaje mtu afuate msingi ya dini (imani na mila) za watu wengine wakati hapa Tanzania tuna mila zetu? Viongozi wa dini ndiyo wanafanya taifa letu kuwa na wananchi wajinga.Ngoja wvaa kobzi wakusikie wakusomee takbiri
Nature ya binadamu kuangalia maslahi yake hasa ya kimwili ila kwa alieielewa dini huo upuuzi hamnaKuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa
Hivi vigezo vya kusilimu ni vipi?krb uslim mkuu....niko hapa mskiti mweupe
Kwanza tumjue huyo Mtume kwa sura. Sasa hawa wadau wanamfuataje mtu hawamjui? Zingatia... Mtu! Nasikia pia aling'olewa meno na watesiPamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Chema chajiuza kibaya chajitangaza.Kwa nini usiwahubirie watu kumfuata Mungu wako bila kukashifu imani za wengine?Hakuna kinachokuvutia kwenye ugalatia ni sawa na ni haki yao.Unaamini wagalatia wana kinachowavutia kwenye uislam?Asante
Lakini mimi hakuna kitu chochote kinachonivutia kwenye ugalatia, kwa kweli hakuna
Zaidi nachukia ufisi na uoga uliopandikizwa kwenye hiyo imani.
Hata ukiangalia hawa panya road huwa wanawatesa wa huko kimara sijui kawe na mbezi, hutasikia panya road wilaya ya Temeke au Mtoni
Nyie mnagandana mpaka mnauana bora kuachanaKuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa
Niliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..
Mfano, Bahati anataka kusilimu, kwanini sasa aitwe Abdul badala ya kubaki na Bahati lake.. Je kuna shida na Majina yasiyo ya kiarabu?
Naomba jibu kama unajua.
Ooh.. okay.. Kuna sheikh aliniambia haiwezekani uwe muislamu asiye na jina la kiislamu.. sikuridhishwa na hilo jibu.
Mimi hamna jambo lolote linanishinda kwenye uislamu halipo kasoro la kuolewa mke mwingine
Hapana
Mi hata ninja navaa
Lolote lile
Kwa nnaowaona kwenye jamii yangu ndivyo wanavyoishi tena kwa wingi.Kuna waislam wanafanya mema kila siku na kuna wanaofanya mema mpaka mwezi wa ramadhani na hii ni ruka ya binaadam kuzongwa na ibilisi na sio sifa ya muislam ni kujisahau kwa mwanadamu hyo wala sio hoja labda ubishani saw saw na papa kuruhusu ndoa za jinsia moja kwani ni wakristo wote mnapenda hvo ni yeye papa matakwa yake sio yeye ni kuna muislam tu na muislam mshika dini hukuti muislam mshika dini yeye anamkumbuka Mungu Mweza mtukufu tu sio jambo la kweli yule anayeshika dini anamkumbuka Mungu kila siku na kutoa elimu kwa wengine wawe kama yeye
Haya yote yapo kwenye ukristoPamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Kitu nisichokipenda kutoka kwao ni kwamba Wana chuki sana na watu wasioamini ktk dini yao, wanajiona wao pekee ndio wanastahili kuishi kwenye Dunia hii ni ujinga kwa kweli.
Sishei dudu,Sharing is caring