Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,490
- 21,964
Hii mbona ipo hata kwa wakristo au wewe ni msabato hadi usijue hilo?4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
Hii mbona ipo hata kwa wakristo au wewe ni msabato hadi usijue hilo?4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
Hizi ni sifa au disapproval?6. Kuvaa nguo na kujilinganisha na waarabu (ukifanana na muarabu zaidi ndio Mungu anakupenda zaidi)
7. Kubadilisha lugha ya kiswahili ili uonekane mwarabu (mnyaazi mungu)
8. Kudhani Mungu hajui lugha nyingine (nadhani atakuwa anajua kiarabu pekee)
9. Kwenda kutalii uarabuni maana Mungu ndiko aliko
10. Kuabudu kwa kuelekea uarabuni, maana ndipo Mungu alipo.
Kumbe kuondoka ni kutaka tu.🤣Hakuna Eda hapo 😀😀
Inakuwa tayar kashakurejea
Ahsante kwa ufafanuzi mzuri mkuu.Alisema uongo kabisa. Majina yanahusiana na utamaduni na mazingira mtu atokayo. Alichosema Mtume ni kuwapa majina mazuri watoto wenu. Ila sio lazima aitwe jina la kiarabu. Unaweza kuwa muislamu na ukaitwa Jonathan au Tonge, au Samaki.
Nimekuelewa vizuri kabisa mkuu.. shukrani.Mfano mzuri ni Clement mzize si anatumia yote!
Ukisoma Quran Kigezo cha kuoa wake wengi ni Uadilifu..Imekataaje Dr?
Huwezi kuondoka mpaka umalize Eda miezi minne kama sio mitano kama sijasahau..Kumbe kuondoka ni kutaka tu.🤣
Ahsante mkuu.Uislam unataka watu wapewe majina mazuri i.e majibu yenye maana nzuri. So, unaweza itwa Nuru au Lightness, Haikande au Masanja au John na bado ukawa ni Muislam. Hii ya kuwalazimisha watu kuchukua majina ya Kiarabu ni upotofu tu na mazoea. Hakuna ulazima.
naomba nikuoeKuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa
Sasa hiyo miezi minne si napika na bikini.....hamna eda tena hapoHuwezi kuondoka mpaka umalize Eda miezi minne kama sio mitano kama sijasahau..
Kwahyo utapika nyumbani Na atakuhudumia ila kulala kitanda kimoja no
Karibu, leo leo au lininaomba nikuoe
tena wanakua sio wachoyo ukitaka unatengewa unaikula tani yako mchawi pumzi. kila siku unapiga vigelegele kwenye ndoa
km ruksa yko imepita acha huu mwezi upite tusiambiwe ni ndoa ya ftari tuseme insha AllahKaribu, leo leo au lini
Hapo unapimwa ujasiri kama kweli mmeshindwa kuendelea na ndoa au mmepata hasira tu..Sasa hiyo miezi minne si napika na bikini.....hamna eda tena hapo
Mie sina tabu habiby hata nikiwa mke uji.....ngoja nije pm nichague rangi ya gauni kesho nkuite mmetu
km ruksa yko imepita acha huu mwezi upite tusiambiwe ni ndoa ya ftari tuseme insha Allah
Ina maana unapo Sali wew jinsi unavotoa sadaka ndo jinsi unavo kua maskini?Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini