Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
- Thread starter
- #21
Umeona na wewe kaka,
Yaani kwanza ni jukumu lako kumtunza mtoto wa watu...na halafu sheria inampa mamlaka ya kuuza phoenix yako ili eti akalipie matumizi yake na mtoto.
Hii sheria inahitaji marekebisho ya haraka sana.
Ndio maana mimi napendekeza kwamba ndoa ziwe katika mfumo wa corporate union. Kila mtu awe na shea zake ili mambo yakienda mrama ajue anachoambulia!!
Corporate union??? Dah umefika mbali! Kimsingi sheria hii iliandikwa wakati wanawake wamekandamizwa sana. Ila kwa sasa Law Reform
commission imependekeza mabadiliko yake. Ikiwa wataileta hadharani tusikawie kutoa maoni yetu!