mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Morogoro kwenye hotel kuna wanawake wanajiuza kwa wateja wanaoenda kulala, huwa wanazungukazunguka kwenye korido au restaurant za hotel hizo kwa ajili ya kuonekana, na wakati mwingine ukiulizia reception kama unaweza kupata totoz unaambiwa atakuja chumbani.