Kwaupande wangu mambo yanayonichefua roho ni haya yafuatayo.
1. Movie zote zenye maudhui ya mizimu(uchawi)
2. Kusikia majina ya viongozi wasio na tija katika TANZANIA yetu.
3.................
.
.
.
Handsome wa mama nimewasilisha mambo yanayonichefua roho, yapo mengi sana lakini haitakuwa jambo jema kama nitataja mambo yote peke yangu, hebu tujiunge pamoja, twende sasa.
1. Movie zote zenye maudhui ya mizimu(uchawi)
2. Kusikia majina ya viongozi wasio na tija katika TANZANIA yetu.
3.................
.
.
.
Handsome wa mama nimewasilisha mambo yanayonichefua roho, yapo mengi sana lakini haitakuwa jambo jema kama nitataja mambo yote peke yangu, hebu tujiunge pamoja, twende sasa.