cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
Orodha niliyokabidhiwa na mama'ake yadai cerelac, disposable diapers, lactogen........na vikorombezo kibao.............najua vyote hivyo mwanangu hapewi..............lakini vingine nimerundikiwa kukomolewa tu.................just imagine Tshs 700,000/=...................a month and she is still hungry for more........................
kama ndio hivyo, no wonder hataki tena ajira wala ujasiriamali coz huo ni mshahara tosha! mmmmmm kwa kweli chukua tahadhari, ila na mume wa kuzaa naye alipata, huyu wangu wa ndoa na wala hatoi hiyo kwa mwezi, chezea wanaume viburi weye!! na ye yupo jf pia asome tu kwa kweli, mi pia huwa navisoma vijembe vyake humu ndani juu yangu!